​du dr wako anakazi maana ukimtibu mgonjwa unafurahia akipata nafuu sasa wewe ugonjwa unazidi maana kilaunalofanya huoni kuwa una matatizo ya kichwa?kwa hapa siku ukijijua milembe wataachiwa wote maana kazi ipo ndio maana mzee malecela hakuwahi kukutambulisha kwa jamii ur very kituko
- Wandugu wapenzi tupo huku Osterbay: at Kenyatta Road, karibu na Chole Road, tunafanya Fundraising ya kuwasaidia watoto wa Yatima Dodoma, kwa kushirikiana na Kinjekitile Mwiru. Nawaomba sana wale wote wenye huruma na kuelewa kama sisi kwamba hawa watoto hawakuomba kutokuwa na wazazi kama tulionao sisi, mjiotkeze hapa tupo mpaka usiku wa saa mbili.
- Kinachotakiwa ni kiingilio tu Shillingi 10,000 ambapo pia utaweza kuosehwa gari lako kwa hicho kiingilio, karibuni sana people tuweke itikadi na tofauti zetu pembeni na tuwe One Peopel, One Nation Tanzania na One Great JFers and help this kids!!
- MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA HASA WATOTO WAKE!!
William John Samwel Malecela: MJUMBE WA WAZAZI MKOA DAR & MJUMBE WA CCM WILAYA ILALA.
Kujitafutia umaarufu kupitia watanzania maskini ambao umesababishwa na wazaz wao kupitia chama chao wachumia 2mbo tu hawana lolote M4c daimaKwanini kila mmoja wenu asichukuwe hao watoto na kuwalea nyumbani kwake kama wanae?
Kwanini muendelee kuwatumia uyatima wao kujipatia umaarufu?
Kwanini muendelee kuwaonesha kuwa wao ni wakusaidiwa tu?
Hili la kuchangishana kwa kwa ajili ya yatima au pale watu maarufu wanapojidai kupeleka viroba vya mchele wakijidai ni wema kumbe wanataka umaarufu kupitia yatima siafikiani nalo na nnalipinga kwa nguvu zangu zote.
Mkitaka kuwasaidia kiukweli muwachukuwe muwalee majumbani kwenu kila anaechangia hapo achukuwe mmoja badala ya kutafuta umaarufu.
Kwanini kila mmoja wenu asichukuwe hao watoto na kuwalea nyumbani kwake kama wanae?
Kwanini muendelee kuwatumia uyatima wao kujipatia umaarufu?
Kwanini muendelee kuwaonesha kuwa wao ni wakusaidiwa tu?
Hili la kuchangishana kwa kwa ajili ya yatima au pale watu maarufu wanapojidai kupeleka viroba vya mchele wakijidai ni wema kumbe wanataka umaarufu kupitia yatima siafikiani nalo na nnalipinga kwa nguvu zangu zote.
Mkitaka kuwasaidia kiukweli muwachukuwe muwalee majumbani kwenu kila anaechangia hapo achukuwe mmoja badala ya kutafuta umaarufu.
Fundrise imebamba mbaya
Zombi naona umefunguka na magamba wenzako kwi!kwi! Kwi! Kwi!Kwanini kila mmoja wenu asichukuwe hao watoto na kuwalea nyumbani kwake kama wanae?
Kwanini muendelee kuwatumia uyatima wao kujipatia umaarufu?
Kwanini muendelee kuwaonesha kuwa wao ni wakusaidiwa tu?
Hili la kuchangishana kwa kwa ajili ya yatima au pale watu maarufu wanapojidai kupeleka viroba vya mchele wakijidai ni wema kumbe wanataka umaarufu kupitia yatima siafikiani nalo na nnalipinga kwa nguvu zangu zote.
Mkitaka kuwasaidia kiukweli muwachukuwe muwalee majumbani kwenu kila anaechangia hapo achukuwe mmoja badala ya kutafuta umaarufu.
Hakika mganga wa jadi aliyekutibu nikimfahamu lazima ni mzawadie ng'ombe mmoja!Kwanini kila mmoja wenu asichukuwe hao watoto na kuwalea nyumbani kwake kama wanae?
Kwanini muendelee kuwatumia uyatima wao kujipatia umaarufu?
Kwanini muendelee kuwaonesha kuwa wao ni wakusaidiwa tu?
Hili la kuchangishana kwa kwa ajili ya yatima au pale watu maarufu wanapojidai kupeleka viroba vya mchele wakijidai ni wema kumbe wanataka umaarufu kupitia yatima siafikiani nalo na nnalipinga kwa nguvu zangu zote.
Mkitaka kuwasaidia kiukweli muwachukuwe muwalee majumbani kwenu kila anaechangia hapo achukuwe mmoja badala ya kutafuta umaarufu.
Kwa mara ya kwanza upo upande wa watanzania wazalendoMnajitafutia umaarufu kupitia yatima.