mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Fundi wa Tanesco apigwa shoti ya Umeme akiwa JUU YA NGUZO ENEO LA COTEX AFRICANA...............HAKIKA HII NI AJALI MBAYA AMBAYO IMEPATA KUSHUHUDIWA.
Alikuwa kakaa juu ya nguzo za Umeme eneo la kiwanda cha Cotex jioni hii karibia na Africana wakifanya marekebisho ya baadhi ya nyaya zenye matatizo na wakati huo umeme ulikuwa umekatwa kama kawaida ya Tanesco na ratiba halisi ni umeme ulitakiwa urudishwe kuanzia saa 12:00 jioni...............Kwa kawaida umeme eneo husika huwa unarudishwa saa 12:00 jioni ila leo saa 11:00 ukarudishwa ghafla huku mafundi wakiwa juu kwenye Nguzo...................Jamaa alipigwa shoti ya mkono na mkono ukakatika na kipande kuanguka chini kama tawi la mti na yeye kukaukia akiwa juu ya Nguzo......Ni tukio la kusikitisha sana...............Sasa cjui Tanesco itachukua utaratibu gani kutokana na tatizo hilo.
R.I.P Fundi wa Tanesco.
Alikuwa kakaa juu ya nguzo za Umeme eneo la kiwanda cha Cotex jioni hii karibia na Africana wakifanya marekebisho ya baadhi ya nyaya zenye matatizo na wakati huo umeme ulikuwa umekatwa kama kawaida ya Tanesco na ratiba halisi ni umeme ulitakiwa urudishwe kuanzia saa 12:00 jioni...............Kwa kawaida umeme eneo husika huwa unarudishwa saa 12:00 jioni ila leo saa 11:00 ukarudishwa ghafla huku mafundi wakiwa juu kwenye Nguzo...................Jamaa alipigwa shoti ya mkono na mkono ukakatika na kipande kuanguka chini kama tawi la mti na yeye kukaukia akiwa juu ya Nguzo......Ni tukio la kusikitisha sana...............Sasa cjui Tanesco itachukua utaratibu gani kutokana na tatizo hilo.
R.I.P Fundi wa Tanesco.