uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,725
- 26,554
Una shilingi ngapi ? Mbzii ya kimara udongo Wa mfinyanzi una kazi kubwa kwenye msingi .Weka Wewe una shilingi ngapi budget na eleza kiwanja kiko eneo tambarare au mwinuko? Upatikanaji Wa vifaa vya ujenzi ukoje, mfano.mchanga, kokoto, tofali, maji nk
Wewe sio fundi, mchanga, kokoto na maji ni kazi yako au ya mjengaji?