kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,929
Hello habarini za muda huu, poleni na covid-19 popote mlipo, natafuta fundi bora, atakayenipa makadilia mazuri ya kusimamisha (namaanisha boma tupu) kwanza, nyumba mahitaji yafuatayo
vyumba viwili (kimoja master),
Sebure kubwa+dinning
Jiko+store
Choo+bafu
Note: vyumba vyote viwili viwe na makabati ya ukutani
Eneo
-lipo dar es salaam (mbezi ya kimara)
-eneo lipo tambalale (sio la kuchonga)
-eneo ni 20m*25m
NINACHOTAKA
-pesa ipo mfukoni
-Nataka kujenga mtindo wa nyumba wa kisasa (usiochukua bati nyingi na mbao nyingi)
-nataka fundi anipe mahesabu ya kusimamisha boma kwanza (pagara).
"FUNDI MWENYE MAKADILIO YANAYOTEKELEZEKA NA GHARAMA NAFUU NAMPATIA KAZI HII YA KUNIJENGEA"
Hii ni hapo chini ni mfano wa nyumba ninayoitaka
Note: naanza kwanza na boma, kwa kuwa pesa yangu sio nyingi na nimejichanga mnoo kuipata. Unaponipa bei jaribu kuzingatia kuwa mimi ni mkulima mdogo wa jembe la mkono, usiniumize sana.
Karibuni sana, kwa ushauri na mapendekezo.
View attachment 1436491View attachment 1436494
vyumba viwili (kimoja master),
Sebure kubwa+dinning
Jiko+store
Choo+bafu
Note: vyumba vyote viwili viwe na makabati ya ukutani
Eneo
-lipo dar es salaam (mbezi ya kimara)
-eneo lipo tambalale (sio la kuchonga)
-eneo ni 20m*25m
NINACHOTAKA
-pesa ipo mfukoni
-Nataka kujenga mtindo wa nyumba wa kisasa (usiochukua bati nyingi na mbao nyingi)
-nataka fundi anipe mahesabu ya kusimamisha boma kwanza (pagara).
"FUNDI MWENYE MAKADILIO YANAYOTEKELEZEKA NA GHARAMA NAFUU NAMPATIA KAZI HII YA KUNIJENGEA"
Hii ni hapo chini ni mfano wa nyumba ninayoitaka
Note: naanza kwanza na boma, kwa kuwa pesa yangu sio nyingi na nimejichanga mnoo kuipata. Unaponipa bei jaribu kuzingatia kuwa mimi ni mkulima mdogo wa jembe la mkono, usiniumize sana.
Karibuni sana, kwa ushauri na mapendekezo.
View attachment 1436491View attachment 1436494