Epateletech
Member
- Jun 17, 2015
- 85
- 64
Una changamoto gani kwenye simu yako nikupe solution na bei ya matengenezo
Ulizq chochote notakujibu kwenye comment
Whatsapp 0757937196
Ulizq chochote notakujibu kwenye comment
Whatsapp 0757937196
Samsung ni simu nzuri kuanzia body mpaka uwezo wa kuprocess vitu japo swali lako lipo in general namimi nakujibu in general mpaka sasa kwa matoleo ya simu yaliyotoka kwa ubora samsung yupo juu ya redminIpi simu nzr kati ya Redmi na Samsung? Kwann
Kubadilisha kioo note 9 ni 240k hivyo vibutton mpaka kupata body ni kati ya 30kSamsung note 9 kioo kimezima, button ya kuwasha pia imekufa nilikua nabonyeza kwa kutumia pin hivyo imekufa kwa ndani kabisa ila nikiweka charge inaingia, inarekebishika??
Tuna pixel 2 na 2xlGoogle pixel 2a kioo Bei gani
Kuna baadi ya app za udukuzi zinazowekwa kwanye simu za walengwa zinazofanya kazi mahususi kwa ajiri ya taarifa za mhusikaWale wanaodukua mawasiliano ya watu wengine wanafanyaje kwenye simu zao
Siku ukiwa serious we mpare utapata kilema😂😂😂Ac ya simu ikifa, je naweza kuunganisha na ac ya nyumbani?
Hiyo hatuna bossnatafuta circuit ya hot 30 play
2 ni Bei gan kiooTuna pixel 2 na 2xl
Asante kwa swali zuri unaweza kututajia simu unayotumia ili tuweze kukujibu kwa ufasahaMe natumia simu gani? 😎