Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,273
- 7,363
Habarini wakuu,
Fundi yeyote ana taaluma ambayo wewe huna jifunze namna ya kuishi na fundi kupunguza chances za kukuibia
Fundi yeyote yule unapo mpa kazi mpe uhuru wa kuifanya ile kazi cha muhimu ni kuzingatia ubora wa kazi yako
Fundi asipokuibia hela ,atakuibia materials, asipo kuibia materials atakuibia Muda wako
Huwa naona watu wengi sana wanapoteza muda kufuatana na mafundi especially hawa wa buildings works km carpenter, painter,plumber, electrical & air condition technicians ...n.k
Lakini pamoja na kuwafuatilia hatua kwa hatua bado wanaendelea kuibiwa pasipo kujua ..kwakua lazima tukubali kuwa fundi yeyote amekuzid knowledge ya hiyo taaluma yake ..hvyo bhac ,iwe Kampuni ,Taasisi au Mtu binafsi ..unapokua na kazi yako ..focus zaidi kwenye ubora wa kazi na sio fundi um'bane vipi ili asikuibie
Nimeona mifano mingi sana ya watu wanaolalamika kila siku kuibiwa na mafundi lakini ukifuatilia kwa makini ni watu wanao wabana sana mafundi wakat wa kazi zao lakini ukweli ni kwamba kadri unavozidi kumbana fundi ndo unamuongezea nafasi ya kukuibia
Kwa upande wa hela fundi kukuibia anaweza akataja bei tofaut na bei elekezi..au kazi ambayo angeweza kuifanya kwa lisaa limoja anaweza akaifanya kwa masaa matano ili uone ni kazi complicated umpe hela nyingi
Kwa upande wa materials hapa ndo wanatupigaga sana hususani hv vitu vya spare iwe vyombo vya usafiri, vifaa vya umeme,bomba ,Ac nk hapa hata uwe unajua bei ya kila kitu anaweza akakudanganya kitu flani kimeharibika ni cha kubadilisha kwakua hujui chochote ukimpa hela tayari anakua ameshakupiga hata ukitaka recept za EFD zinanunuliwa..so sio big deals..
Kwa upande wa muda hapa mara nyingi n kwa mafundi walio ajiriwa kwenye makampuni au taasisi ambazo nature ya kazi zao ni za ku move kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine hapo watakua wanatumia muda wa ofisi kufanya kazi zao binafsi
Hebu kila mmoja aelezee mbinu anazozijua ambazo mafundi wanatumia kutuibia kila siku ili angalau tujifunze
Fundi yeyote ana taaluma ambayo wewe huna jifunze namna ya kuishi na fundi kupunguza chances za kukuibia
Fundi yeyote yule unapo mpa kazi mpe uhuru wa kuifanya ile kazi cha muhimu ni kuzingatia ubora wa kazi yako
Fundi asipokuibia hela ,atakuibia materials, asipo kuibia materials atakuibia Muda wako
Huwa naona watu wengi sana wanapoteza muda kufuatana na mafundi especially hawa wa buildings works km carpenter, painter,plumber, electrical & air condition technicians ...n.k
Lakini pamoja na kuwafuatilia hatua kwa hatua bado wanaendelea kuibiwa pasipo kujua ..kwakua lazima tukubali kuwa fundi yeyote amekuzid knowledge ya hiyo taaluma yake ..hvyo bhac ,iwe Kampuni ,Taasisi au Mtu binafsi ..unapokua na kazi yako ..focus zaidi kwenye ubora wa kazi na sio fundi um'bane vipi ili asikuibie
Nimeona mifano mingi sana ya watu wanaolalamika kila siku kuibiwa na mafundi lakini ukifuatilia kwa makini ni watu wanao wabana sana mafundi wakat wa kazi zao lakini ukweli ni kwamba kadri unavozidi kumbana fundi ndo unamuongezea nafasi ya kukuibia
Kwa upande wa hela fundi kukuibia anaweza akataja bei tofaut na bei elekezi..au kazi ambayo angeweza kuifanya kwa lisaa limoja anaweza akaifanya kwa masaa matano ili uone ni kazi complicated umpe hela nyingi
Kwa upande wa materials hapa ndo wanatupigaga sana hususani hv vitu vya spare iwe vyombo vya usafiri, vifaa vya umeme,bomba ,Ac nk hapa hata uwe unajua bei ya kila kitu anaweza akakudanganya kitu flani kimeharibika ni cha kubadilisha kwakua hujui chochote ukimpa hela tayari anakua ameshakupiga hata ukitaka recept za EFD zinanunuliwa..so sio big deals..
Kwa upande wa muda hapa mara nyingi n kwa mafundi walio ajiriwa kwenye makampuni au taasisi ambazo nature ya kazi zao ni za ku move kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine hapo watakua wanatumia muda wa ofisi kufanya kazi zao binafsi
Hebu kila mmoja aelezee mbinu anazozijua ambazo mafundi wanatumia kutuibia kila siku ili angalau tujifunze