fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,648
Hata hawa wa makampuni ni wezi tu kiufupi hamnaga fundi asiekua mwizi muache unoko matajiriHizi changamoto za kusumbuana na mafundi mnazitaka wenyewe client, Siku hizi kuna makampuni mengi tu class VII wanajenga hadi nyumba za viwili, kaa nao chini mpatane muingie mkataba, mkiendelea kujenga ki local hvo mtapigwa sana na nasema mtaendelea kupigwa tu!