The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
Hii ni mara yangu ya pili kipitia msoto wa ujenzi.Nilipitia hali hii kwa mara kwanza mwaka 2014.
Ni kero sana. Ni kero sana kufanya kazi na mafundi ambao hawako smart. Huyu atakuharibia kazi, huyu atakuibia materials, yule ni muongo kachukua kazi halafu hafanyi. Yaaani kuna kila aina ya kero.
Nimechoka sana. Sasa naelewa kwa nini baadhi ya watu huamua kununua nyumba tu na kuhamia.
Mafundi wengi wanahitaji usimamizi, ukiondoka tu, umepigwa. Wengine huo muda hatuna.
Ni kero sana. Ni kero sana kufanya kazi na mafundi ambao hawako smart. Huyu atakuharibia kazi, huyu atakuibia materials, yule ni muongo kachukua kazi halafu hafanyi. Yaaani kuna kila aina ya kero.
Nimechoka sana. Sasa naelewa kwa nini baadhi ya watu huamua kununua nyumba tu na kuhamia.
Mafundi wengi wanahitaji usimamizi, ukiondoka tu, umepigwa. Wengine huo muda hatuna.