Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,287
- 7,388
- Thread starter
- #81
Hamna mkuu tunashare experience mbali mbal za mafundi wetuUmetusagia kunguni
Hamna mkuu tunashare experience mbali mbal za mafundi wetuUmetusagia kunguni
Hawa jamaa wa gereji wanafanya uhuni sana
Ukiacha gari gereji wanaibaga sana spear
Bado hajakupiga kwenye matengenezo
Wahuni sana hawa watu adseKwenye hii.sekta hawa ndo master wanalizwa mabos tena ni vifaa vya bei kuanzia 2million kwenda mbele
Leo siku ya tatu nashinda gareji fundi kaniibia muda wangu na sio kwamba simlipi vizuri no ila tatizo ana kazi nyingi sabab n mbobevu hvyo ili akufanyie kazi yako lazima ubanane nae