Fumbo la mke wa Lutu na Sodoma na Gomora

Fumbo la mke wa Lutu na Sodoma na Gomora

Yeah angegeuka jiwe la chumvi kwakuwa angekuwa ameenda kinyume na maagizo ya Mwenyezi Mungu
Mkuu huoni kama kunautofauti kati ya kugeuka nyuma na kurudi reverse (kurudi nyuma bila kugeuka),

Sijui umenipata lakini mkuu ninacho maanisha?
 
Pure black
Sijajua ni kwanini ukiwa na ngozi nyeusi unageuka kuwa adui wa binadamu wengine hapa duniani siku hizi na sijui hili lilianzishwa na nani....

Nyakati za kale watu hawakuwa wakitambuana kwa ngozi zao lakini leo imekuwa hivi....

Wakati Misri ya weusi ikitawala dunia maisha hayakuwa kama haya lakini hii ya leo inashangaza sana....
 
Sijajua ni kwanini ukiwa na ngozi nyeusi unageuka kuwa adui wa binadamu wengine hapa duniani siku hizi na sijui hili lilianzishwa na nani....

Nyakati za kale watu hawakuwa wakitambuana kwa ngozi zao lakini leo imekuwa hivi....

Wakati Misri ya weusi ikitawala dunia maisha hayakuwa kama haya lakini hii ya leo inashangaza sana....
Haya mambo yalianza nyakati na utumwa na ile sumu bado inafanya kazi mpaka leo hii hata ndani ya forum hii
 
Haya mambo yalianza nyakati na utumwa na ile sumu bado inafanya kazi mpaka leo hii hata ndani ya forum hii
Hili ni kweli lakini huwa napata hisia kwamba kuna zaidi ya hili....

Inawezekana kuna siku tutaelewa zaidi....
 
Maana ya kugeuka nyuma ni kurudia mambo walio yafanya mda ule
Mungu anasema kuwa binadam hatupaswi kufata yale yaliotendwa enz zile kwani hayafai
Ila binadam ndo kwanza wamekuwa wakiyachochea
Kupitia serikali zinazotawala dunia
 
Back
Top Bottom