Ajabu hajaenda kumshitaki kwao, bado wako nae japo wanalala room tofauti, ILA anaonekana bado anampenda mke wake.
huyo jamaa yako mbwiga kweliWana JF poleni na majukumu.
Nina rafiki yangu wa karibu sana, ana mke na Mtoto 1 Yuko STD 5 boarding, Shemeji yangu Mashallah amejaaliwa sector zote, hawajajaaliwa kupata Mtoto mwingine, tatizo limejitokeza jumamosi iliyopita, rafiki yangu hata tabia ya kushika simu ya mke wake, siku hiyo jamaa alikuwa sebuleni na shemeji Yuko jikoni japo simu ameacha sebuleni, mara msg whatssap ikaingia jamaa akajikuta anaichukua simu na kufungua msg, kwa jina na Husna japo picha ya prifile niya kiume, ''honey nimeku miss kama Jana hatukuwa pamoja, njoo basi Hunters tupate wine niko alone, jamaa yangu akaishiwa nguvu, ila akaijibu! '' Nakuja sweetheart' muda huo huo akamwambia mke wake watoke kuna emergency,wakatoka mpaka block 40, akachukua vijana 3, wakati huo alikuwa ameshanitaarifu, ndiyo wakaenda Hunters, kufika jamaa akamwambia mke wake atangulie ndani wanamaongezi, alipoingia ndani kutafuta pa kukaa, jamaa akamuona akawa anamuita '' honey niko hapa njoo'' jamaa nao wakawa wamefika, ikawa ugonvi kumpiga jamaa, ila nikawa nimefika nikaamulia japo jamaa alikuwa kaumizwa kidogo, ktk kumhoji jamaa alionekana hana makosa maana aliambiwa hajaolewa, mke alikiri kumwambia hivyo, ala anaomba msamaha, unamshauri vipi ndugu yangu?
Huwa nashangaa sana watu kupoteza muda kichch kichch tu hata mukae usiku mzima hawezi kuchangeMkuu kwanza,huyo shemejio anamakosa ! Pili huyo rafikiyo akae na huyo mkewe amuulize tatizo lake huenda jamaa yako ni mtu wa mastress kwa mkewe ,mwisho wakapime afya zao kabisaa then ye ndo nmwenye maamuzi hata biblia imesema mke aachwi bali kwa uasherati so aamue mwenyewe amuache ama amsamehe waendelee na maisha ...over!!
mkuu unajua fumanizi la kwanza huwa linachanganya sana..
ni bora angekuwa ameshafumania mara 2 na kuendelea ili awe experienced..! hapo kichwa lazima kiume!
Hiyo Ndoa ina watoto?
Tena wawili
Mkuu mimi nikisikia tu moyo unakuwa karibu kuacha mwili, sembuse nifumanie live?! Naweza RIP japo siwezi kumdhuru yoyote maana wamekubariana hakuna aliembaka mwenzake.
Wana JF poleni na majukumu.
Nina rafiki yangu wa karibu sana, ana mke na Mtoto 1 Yuko STD 5 boarding, Shemeji yangu Mashallah amejaaliwa sector zote, hawajajaaliwa kupata Mtoto mwingine, tatizo limejitokeza jumamosi iliyopita, rafiki yangu hata tabia ya kushika simu ya mke wake, siku hiyo jamaa alikuwa sebuleni na shemeji Yuko jikoni japo simu ameacha sebuleni, mara msg whatssap ikaingia jamaa akajikuta anaichukua simu na kufungua msg, kwa jina na Husna japo picha ya prifile niya kiume, ''honey nimeku miss kama Jana hatukuwa pamoja, njoo basi Hunters tupate wine niko alone, jamaa yangu akaishiwa nguvu, ila akaijibu! '' Nakuja sweetheart' muda huo huo akamwambia mke wake watoke kuna emergency,wakatoka mpaka block 40, akachukua vijana 3, wakati huo alikuwa ameshanitaarifu, ndiyo wakaenda Hunters, kufika jamaa akamwambia mke wake atangulie ndani wanamaongezi, alipoingia ndani kutafuta pa kukaa, jamaa akamuona akawa anamuita '' honey niko hapa njoo'' jamaa nao wakawa wamefika, ikawa ugonvi kumpiga jamaa, ila nikawa nimefika nikaamulia japo jamaa alikuwa kaumizwa kidogo, ktk kumhoji jamaa alionekana hana makosa maana aliambiwa hajaolewa, mke alikiri kumwambia hivyo, ala anaomba msamaha, unamshauri vipi ndugu yangu?
Ndio ..................
dah huyo kila mwezi anasheherekea siku yake ya kuzaliwa!! Muulize Nicas Mtei
Wana JF poleni na majukumu.
Nina rafiki yangu wa karibu sana, ana mke na Mtoto 1 Yuko STD 5 boarding, Shemeji yangu Mashallah amejaaliwa sector zote, hawajajaaliwa kupata Mtoto mwingine, tatizo limejitokeza jumamosi iliyopita, rafiki yangu hata tabia ya kushika simu ya mke wake, siku hiyo jamaa alikuwa sebuleni na shemeji Yuko jikoni japo simu ameacha sebuleni, mara msg whatssap ikaingia jamaa akajikuta anaichukua simu na kufungua msg, kwa jina na Husna japo picha ya prifile niya kiume, ''honey nimeku miss kama Jana hatukuwa pamoja, njoo basi Hunters tupate wine niko alone, jamaa yangu akaishiwa nguvu, ila akaijibu! '' Nakuja sweetheart' muda huo huo akamwambia mke wake watoke kuna emergency,wakatoka mpaka block 40, akachukua vijana 3, wakati huo alikuwa ameshanitaarifu, ndiyo wakaenda Hunters, kufika jamaa akamwambia mke wake atangulie ndani wanamaongezi, alipoingia ndani kutafuta pa kukaa, jamaa akamuona akawa anamuita '' honey niko hapa njoo'' jamaa nao wakawa wamefika, ikawa ugonvi kumpiga jamaa, ila nikawa nimefika nikaamulia japo jamaa alikuwa kaumizwa kidogo, ktk kumhoji jamaa alionekana hana makosa maana aliambiwa hajaolewa, mke alikiri kumwambia hivyo, ala anaomba msamaha, unamshauri vipi ndugu yangu?
mpe pole sana na avumilie tu . asimfukuze mke
ila hapo kwenye kukodi watu, alitaka kwenda kuua au?
mi nadhani mkimuamulia mtakuwa mnakosea maamuzi yako mikononi mwao wenyewe,
wakae waongee tatizo liko wapi na amuulize huyo mke wake anakosa nini au wapi jamaa anapokosea hadi bidada anatangaza hajaolewa wakati anamume na mtoto. may kuna kitu atimiziwi na anashindwa kujieleza.
pili wakapime kabla ya kuendelea na mahusiano na kama ni mara ya kwanza amsamehe na atajifunza kupitia hilo