Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,694
- Thread starter
- #161
Dah hizi ndoa za siku hizi majanga matupu yaani namuonea huruma kweli mshkaji mkewe anamsaliti bila ya mwenyewe kujua.,i guess atakuwa ameumia sana. Ila cha msingi akae nae amuulize sababu ya kumsaliti ili jamaa ajirekebishe maana najua kila kitu kinatokea kwa sababu ikiwa tu ni ameteleza basi anaweza kumsamehe lakini asirudie tena akirudia no excuses apige chini.
Jamaa naona anajishauri sana kumuacha maana shemeji yangu mashaallah, mpaka mimi huwa naogopa kumpa lifti, nguo anazovaa halafu akae pale mbele, napata wakati mgumu sana kutokana na umbo lake hasa akikaa nguo inapanda juu, najikuta naangalia gear lever na kuchomoa shati langi kulivuta mbele kuficha aibu.