Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
Balaaaaa
mmmh afu hii ID hii
Balaaaaa
ktk kumhoji jamaa alionekana hana makosa maana aliambiwa hajaolewa, mke alikiri kumwambia hivyo, ala anaomba msamaha, unamshauri vipi ndugu yangu?
Mmh labda 2waulize nyie
wewe hujawahi kukutana na papuchi za maana,,kuna papuchi taamu ajabu yaani hata usikie waziri mkuu anazengea mkeo utataka kuenda kupigana...papuchi mnato,taamu,ina joto kama jiko la mkaa la udongo..hapana chezea ww...naongea nikiwa na uhakika kabisaaaaa
Czan kama atakua hajaelewa.
mmmh afu hii ID hii
utamu wake baba paroko ni utamu ndo unawafanya wakunjane.
hii terminology imenikumbusha mbali zana!sijui na wewe ni wa huko huko...... umaruhuni ...
wataka nikufafanulie au
Mkuu jamaa anadai anatetea ndoa yake.
......hahahahahaaaa, utamu bro,,,,,shimo lako asali mwingine akichovya ni balaaa.....hahahahahaaaa
Hawajakua hao!!!!!!!!!!!
Huyo mwanamke si anajinadi hajaolewa?
Mshauri jamaa yako apige kazi mkewe ajione kweli yuko kwenye ndoa!!!
Atapigana kila siku!
Hujapenda wewe!
Hivi kisa cha kwenda kushikana mashati na mtu kwasababu ya papuchi ni nini?
Wana JF poleni na majukumu. Nina rafiki yangu wa karibu sana, ana mke na Mtoto 1 Yuko STD 5 boarding, Shemeji yangu Mashallah amejaaliwa sector zote, hawajajaaliwa kupata Mtoto mwingine, tatizo limejitokeza jumamosi iliyopita, rafiki yangu hata tabia ya kushika simu ya mke wake, siku hiyo jamaa alikuwa sebuleni na shemeji Yuko jikoni japo simu ameacha sebuleni, mara msg whatssap ikaingia jamaa akajikuta anaichukua simu na kufungua msg, kwa jina na Husna japo picha ya prifile niya kiume, ''honey nimeku miss kama Jana hatukuwa pamoja, njoo basi Hunters tupate wine niko alone, jamaa yangu akaishiwa nguvu, ila akaijibu! '' Nakuja sweetheart' muda huo huo akamwambia mke wake watoke kuna emergency,wakatoka mpaka block 40, akachukua vijana 3, wakati huo alikuwa ameshanitaarifu, ndiyo wakaenda Hunters, kufika jamaa akamwambia mke wake atangulie ndani wanamaongezi, alipoingia ndani kutafuta pa kukaa, jamaa akamuona akawa anamuita '' honey niko hapa njoo'' jamaa nao wakawa wamefik