Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
Last edited by a moderator:
Huyo excel mkurya, mnawezanaje?
miss neddy una mume? Je anakufikisha?
Halafu kitendo ulichonitendea na unachonitendea sio kitu chema.
he he ! let me do the nidful basi eeh soon soon!!
Siku hizi kumekuwa na tabu sana sijui kwa nini hili jinamizi linazikumba ndoa nyingi,mimi siamini kama jamaa hajitumi ni kijitabia kimezuka wanawake wanatoka nje ya ndoa wakisingizia kutofikishwa kwani mpaka anaolewa hakuliona hilo kizazi chenyewe cha shake before use? kama amegundua tofauti baada ya kuingia ameshindwa kuongea na muhusika mpaka anatoka nje au kutoka nje ndiyo suluhiho la kuridhishwa? Akae na mke wake watafute suluhisho la kudumu wakitafakari zaidi mstakabali wa maisha ya mtoto wao,muda mwingine wanawake wanajidharirisha wenyewe,hata jamii inayomzunguka haitamthamini na kumuona kichecheDada zangu na shemeji zangu shansarie Karucee Valentina Chocs Munkari ICHANA MankaM Sista Bantu lady Honey Faith charty ram Heaven on Earth Dinazarde Passion Lady farkhina na wengine wote ambao sijawataja naombeni tumshauri ndugu. Yangu, pia na washikaji wote kiwatengu Daudi1 uran Excel MTAFITI Kibo10 Money Stunna na wengine wote tumpe ushauri ndugu yetu yamemkuta.
Nikiongea neno moja tu nitabubujikwa na machozi kwa jinsi ulivomisiwa na nafsi yangu...!
Safi sana. Una akili nyingi sana.
ha ha ha loh twenzetu escape banaa! Nimemis pale mahali aisee !!
Hivi kisa cha kwenda kushikana mashati na mtu kwasababu ya papuchi ni nini?
Ahahah...kuna kiota kingine kizuri zaidi...nimeku-PM lokesheni Nicas Mtei asije akajiinvite~!
Ahahah...kuna kiota kingine kizuri zaidi...nimeku-PM lokesheni Nicas Mtei asije akajiinvite~!
Ndpa inahusisha watu wawili wenye jinsia mbili tofauti
Wanaokubaliana kuitengeneza hiyo ndoa
Mtu ambae ni mwanachama wa hiyo ndoa akiamua kuivunja hakuna namna
Hata mwanachama mmoja akiamua kutumia alivyonavyo kama pesa na mabavu kuirudisha haitasaidia
Kumlazimisha mmoja kati ya wanachama hao kubaki ndoani ni kupoteza muda
Hakuna mwenye uwezo huo wa kumlazimisha mtu yoyote kufanya hilo
Huyo jamaa anataka kujaribu kupanda mlima kilimanjaro kwa baiskeli
Mkewe ameamua kuutumia mwili wake atakavyo,ataweza kumzuia?
Leo atampiga huyo jamaa kesho mkeo atampelekea dawa na chakula kwa kipigo ulichompa tena kwa hela zako mwenyewe
Utafanyaje ukisikia hilo?
Utaenda kuua?
Acheni kupoteza muda kwa mambo yasiyokuwa na msingi
Huwezi kumpangia mtu namna ya kuutumia mwiliwake!
Mshauri amfikishe mke wake
Huyo mwanamke haridhiki keshakutana na misumari kama hiiView attachment 146245
Siku hizi kumekuwa na tabu sana sijui kwa nini hili jinamizi linazikumba ndoa nyingi,mimi siamini kama jamaa hajitumi ni kijitabia kimezuka wanawake wanatoka nje ya ndoa wakisingizia kutofikishwa kwani mpaka anaolewa hakuliona hilo kizazi chenyewe cha shake before use? kama amegundua tofauti baada ya kuingia ameshindwa kuongea na muhusika mpaka anatoka nje au kutoka nje ndiyo suluhiho la kuridhishwa? Akae na mke wake watafute suluhisho la kudumu wakitafakari zaidi mstakabali wa maisha ya mtoto wao,muda mwingine wanawake wanajidharirisha wenyewe,hata jamii inayomzunguka haitamthamini na kumuona kicheche