Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Aliyefumaniwa ni mwanaume au mwanamke?
Kulikuwa na fumanizi.mwanamke alikutwa na mwanamume asiye mume wakeilikuwaje hii.....hebu tupe.......
aaa sio fresh ..mbona mtaa upo fresh tu huyo....kila mtu anajua kuawa mwenzake kapika nn leo ...mtaa unaishi mshkaji wangu ni sooo dah!........mi nilijua cjui uko wapi vile kumbe hapo mi aka tena loh!
Kulikuwa na fumanizi.mwanamke alikutwa na mwanamume asiye mume wake
sasa inawezekana kufumaniwa mtu mmoja?? a u sijakuelewe!. nijuavyo mimi fumanizi ni watu wa wili,
sasa inawezekana kufumaniwa mtu mmoja?? a u sijakuelewe!. nijuavyo mimi fumanizi ni watu wa wili,
sasa hapo shida ni nini?.....huyo mumewe anatakiwa ajue kuwa kwa siku hiyo hatakiwi yeye ndio maana mkewe kaenda kwingine....
huo mtaa wenu bana....hama huko....
Preta Jamani hata wewe unasema hivyo!!
he he.....yah...sometimes.....
hahaha faiza umeniacha hoi ...duh!!Wa "Cameroon" umewasahau?
na kweli itabidi nihame aisee..ngoja nishauriane na aminata kwanzasasa hapo shida ni nini?.....huyo mumewe anatakiwa ajue kuwa kwa siku hiyo hatakiwi yeye ndio maana mkewe kaenda kwingine....
huo mtaa wenu bana....hama huko....
mtaa unaishi mshkaji wangu ni sooo dah!........mi nilijua cjui uko wapi vile kumbe hapo mi aka tena loh!