Kwenye fumanizi, pambana/ pigana na mwenza wako. Achana na aliyezawadiwa penzi

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,415
Ni uzwazwa kupambana/kupigana na aliyezawadiwa penzi wakati wa fumanizi.

Kwasabb mumeo/mkeo kafanya maamuzi mwenyewe pasipo kushurutishwa na huku akijua ana mke/mume.

Mkeo au mumeo hajabakwa, sasa inakuwaje unaacha kumpiga yeye unampiga mtu aliyekusaidia kumstarehesha?
 
_20240301_002019.JPG
 
Ni uzwazwa kupambana/kupigana na aliyezawadiwa penzi wakati wa fumanizi.

Kwasabb mumeo/mkeo kafanya maamuzi mwenyewe pasipo kushurutishwa na huku akijua ana mke/mume.

Mkeo au mumeo hajabakwa, sasa inakuwaje unaacha kumpiga yeye unampiga mtu aliyekusaidia kumstarehesha?
Huwezi haribu/dhuru unachokipenda.

Asiyekupenda hana haja/muda wa kufumania.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom