Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,008
- 2,384
Tutamuita Kapumbu uone ka utafungua huo mdomo!Wanangu mazembe wembe ni ule ulee
Msiniangushe
Mimi ni nani nisikushukuru kwa Kuniona na Kunitaja (Kuniita) Kwako hivi Ndugu? Tupo wengi na huenda wako wanaonizidi ila yawezekana kuna Thamani Tukuka iliyopo ndani yangu na umeitambua na unaiheshimu pia. Niseme tu Asante Kwako na kwa wale Mashabiki zangu.Leo ni kilele cha ile siku pendwa ya Simba day ambapo inafanyika kwa mara ya 13 mfululizo.
Tupo hapa kukuletea matukio yote muhimu toka Benjamin Mkapa national stadium.
Ungana nasi wanasimba wa Jf kusherekea pamoja nami nawaleta OKW BOBAN SUNZU Mightier FORTALEZA
Na wengine wataungana baadae kidogo
Shughuli zilizopo
Burudani ya muziki
Mechi za utangulizi toka Simba queen na Simba u20
Utambulisho wa wachezaji
Simba vs Tp englaB mazembe
Ungana nasi
Kushinda njaa mtani hilo sina wasi wasi nalo hakika mtashinda njaa.Unauliza majibu? Ushindi ni wa nani sasa kama sio wetu?
Tuache na timu yetu.Hii timu bora ikabadilishwa tu jina na kuitwa MO FC! Yaani jezi imejaa Moo Moo kila sehemu! Utafikiri mashabiki wanapewa bure hizo jezi!
Nafikri Clouds wamepatner na Simba kuhost event.Hivi hii sherehe na clouds watarusha? Naona wanaposti wamejipanga hapo kwa Mkapa.
Msemaji mpya wa timu anatambulishwa leo kwenye tukio.Vipi wadau masau bwire tushamchukua?
Safi sanaMsemaji mpya wa timu anatambulishwa leo kwenye tukio.
Haa SawaHii timu bora ikabadilishwa tu jina na kuitwa MO FC! Yaani jezi imejaa Moo Moo kila sehemu! Utafikiri mashabiki wanapewa bure hizo jezi!