FULL TIME: Simba Vs TP Mazembe(0-1) | Simba Day | Mkapa Stadium

Leo ni kilele cha ile siku pendwa ya Simba day ambapo inafanyika kwa mara ya 13 mfululizo.
Tupo hapa kukuletea matukio yote muhimu toka Benjamin Mkapa national stadium.
Ungana nasi wanasimba wa Jf kusherekea pamoja nami nawaleta OKW BOBAN SUNZU Mightier FORTALEZA
Na wengine wataungana baadae kidogo

Shughuli zilizopo
Burudani ya muziki
Mechi za utangulizi toka Simba queen na Simba u20

Utambulisho wa wachezaji

Simba vs Tp englaB mazembe

Ungana nasi
Mimi ni nani nisikushukuru kwa Kuniona na Kunitaja (Kuniita) Kwako hivi Ndugu? Tupo wengi na huenda wako wanaonizidi ila yawezekana kuna Thamani Tukuka iliyopo ndani yangu na umeitambua na unaiheshimu pia. Niseme tu Asante Kwako na kwa wale Mashabiki zangu.

Kuhusu tukio zima la leo nadhani la Muhimu kwa Wana Simba SC wote ni hasa Kufurahi na Kusheherekea zaidi hata kama ikitokea tukafungwa na Wageni Tou Puisant ( TP ) Mazembe leo.

Na kizuri kingine ni kwamba tunacheza na Bingwa wa CL mara Tano, moja ya Klabu Tajiri Afrika lakini na Timu inayojua, inayojitambua na iliyotuacha mbali mno Simba SC kwa Maendeleo, Mfumo na Mikakati ya Kimchezo.

Nitashangaa mno leo nikiona au nikisikia mwana Simba SC ananuna na Kukasirika kama ikitokea tukafungwa kwani Jukumu letu ( Mama ) leo ni Kukiangalia Kikosi chetu, Maingizo mapya na Muunganiko wao ( their Chemistry ) kama imeshakubali au inaelekea Kukubali.

Wana Simba wote tufurahi na tutambe.
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom