Wabadili tar iwe kesho.
afatilii, mwenzio anajua Simba jana kafungwa,hawa ndo mashabiki wa Uto.
View attachment 2792572
Acha twende nao,siku game ikichezwa itakuta uzi ushachanganya.
mnahasira na simba jana alichana mikeka yenu.sory mkuu kumbe jana mlishinda hongereni sana kwa kutinga nusu fainali kibabe.
Sio Google ni wewe umezingua. Uzi na haufutwi.
uyo mwenye mikimbio kushoto kwenye mlingoti hapo.😂Hapo KEY AZIZI ndo yupo wapi?
Kwani huyo mkurupukaji aliyepost na kiherehere chake ni nani?
SImba jumamosi tupo na mume wenu ihefu,,tunawalipia kisasi🤣🤣ha ha ha ha naskia eti mashujaa nao wanasema wanakuja kujipigia hili simba zeee kwenye mshono kabla kidonda hakijapona.
KikanuniSimba kafungwa lini mzee
Ihefu yenyewe vip ni bora auSimba ni timu mbovu kazi yake ikipiga cha kwanza, cha pili.. ina lala wazi fofo.. watu wanajipigia tu😅
Tumekufa kiume; tumecheza na timu kubwa Afrika...
Naunga mkono hojaSio Google ni wewe umezingua. Uzi na haufutwi.
AahaaaaaUzi haufutwi hapa...UMEYATIMBA