FULL TIME: Simba Vs TP Mazembe(0-1) | Simba Day | Mkapa Stadium

Mechii! Bonanza? Limeshaanza tayari. Wahi uwanjani au washa tv uwaangalie mbumbumbu wenzako wanavyo ruka ruka na kukanyagana.

Mechi iko jioni kati ya Wananchi wa Tanzania dhidi ya Boko Haram wa Nigeria.
Napenda hiyo spirit

Cha msingi usipotee humu baadae jioni kabisa
 
Leo ni kilele cha ile siku pendwa ya Simba day ambapo inafanyika kwa mara ya 13 mfululizo.
Tupo hapa kukuletea matukio yote muhimu toka Benjamin Mkapa national stadium.
Ungana nasi wanasimba wa Jf kusherekea pamoja nami nawaleta OKW BOBAN SUNZU Mightier FORTALEZA
Na wengine wataungana baadae kidogo

Shughuli zilizopo
Burudani ya muziki
Mechi za utangulizi toka Simba queen na Simba u20

Utambulisho wa wachezaji

Simba vs Tp englaB mazembe

Ungana nasi
Leo ni siku ya furaha sana kwa wanasimba. Kwanza kabisa kilele cha utambulisho kwa usajiri mpya tuliofanya wanamsimbazi, siku ya kutudhihirishia kuwa scouting team yetu haikufanya makosa
Pili wanamsimbazi wakiwa jukwaani na kuona yanga wakiaga CAF kabla ya ligi nchini kuanza.
NI MNYAMAAAA.... Akiunguruma ndani ya uwanja wa Benjamini Mkapa leo
 
Huyo anafaa sana kwenye hamasa labda,ila hafisa habari hafai, labda kama atabadilika akipewa iyo nafasi,asiwe na mfululizo wa vijembe kuliko kuwasilisha content kwenye pres zake na waandishi.
Naona amebadilika sana siku za hivi karibuni, anaongea kwa mpangilio na anasomeka
 
Yaani wangese wamejaribu kuhujumu lakini wapi, tumejaza kwa Mkapa by saa 6, sasa tunaanza kujaza shamba la bibi
Ebu tupieni picha za updates wengine tulichukulia poa tukajua tukija uwanjani tutapata nafasi lakini mwisho wa siku tumekosa
 
Huyo anafaa sana kwenye hamasa labda,ila hafisa habari hafai, labda kama atabadilika akipewa iyo nafasi,asiwe na mfululizo wa vijembe kuliko kuwasilisha content kwenye pres zake na waandishi.
Basi Juma Lokole.
 
Kama uwekezaji wote uliofanywa na MO na bado mashabiki wamegoma Ku ujaza uwanja hii ni hatari sana, bora wangetumia shamba la bibi.
2934091_1632046362426.png
 
Back
Top Bottom