Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,315
- 5,434
Kinachoendelea sahivi ni kelele tuu
Napenda hiyo spiritMechii! Bonanza? Limeshaanza tayari. Wahi uwanjani au washa tv uwaangalie mbumbumbu wenzako wanavyo ruka ruka na kukanyagana.
Mechi iko jioni kati ya Wananchi wa Tanzania dhidi ya Boko Haram wa Nigeria.
Jamaa umri umeshaenda mkuu, heri vijana wadogo hata wanauzika kwa dau kubwaViongozi wa Simba nileteeni Okwi,,nileteeni Okwi,,nileteeni Okwi.
Leo ni siku ya furaha sana kwa wanasimba. Kwanza kabisa kilele cha utambulisho kwa usajiri mpya tuliofanya wanamsimbazi, siku ya kutudhihirishia kuwa scouting team yetu haikufanya makosaLeo ni kilele cha ile siku pendwa ya Simba day ambapo inafanyika kwa mara ya 13 mfululizo.
Tupo hapa kukuletea matukio yote muhimu toka Benjamin Mkapa national stadium.
Ungana nasi wanasimba wa Jf kusherekea pamoja nami nawaleta OKW BOBAN SUNZU Mightier FORTALEZA
Na wengine wataungana baadae kidogo
Shughuli zilizopo
Burudani ya muziki
Mechi za utangulizi toka Simba queen na Simba u20
Utambulisho wa wachezaji
Simba vs Tp englaB mazembe
Ungana nasi
Naona amebadilika sana siku za hivi karibuni, anaongea kwa mpangilio na anasomekaHuyo anafaa sana kwenye hamasa labda,ila hafisa habari hafai, labda kama atabadilika akipewa iyo nafasi,asiwe na mfululizo wa vijembe kuliko kuwasilisha content kwenye pres zake na waandishi.
Ebu tupieni picha za updates wengine tulichukulia poa tukajua tukija uwanjani tutapata nafasi lakini mwisho wa siku tumekosaYaani wangese wamejaribu kuhujumu lakini wapi, tumejaza kwa Mkapa by saa 6, sasa tunaanza kujaza shamba la bibi
Basi Juma Lokole.Huyo anafaa sana kwenye hamasa labda,ila hafisa habari hafai, labda kama atabadilika akipewa iyo nafasi,asiwe na mfululizo wa vijembe kuliko kuwasilisha content kwenye pres zake na waandishi.
Yaani wangese wamejaribu kuhujumu lakini wapi, tumejaza kwa Mkapa by saa 6, sasa tunaanza kujaza shamba la bibi
Kaletwa tayariViongozi wa Simba nileteeni Okwi,,nileteeni Okwi,,nileteeni Okwi.
Picha basi mkuu
Hata mimi nimekosa tiketi nimeamua kufatilia azam na insta/twitterEbu tupieni picha za updates wengine tulichukulia poa tukajua tukija uwanjani tutapata nafasi lakini mwisho wa siku tumekosa
Kama uwekezaji wote uliofanywa na MO na bado mashabiki wamegoma Ku ujaza uwanja hii ni hatari sana, bora wangetumia shamba la bibi.
Kama uwekezaji wote uliofanywa na MO na bado mashabiki wamegoma Ku ujaza uwanja hii ni hatari sana, bora wangetumia shamba la bibi.