Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,471
- 6,371
Mkuu wameuza chama na Miquissone halafu wamenunua mabasi tena zile Yutong usedMkuu Hata Leo Mawazo Bado Yanathamani,
Huwezi Kuuza Suruali yako au Suti yako wakati huna Nguo nyingine ya Kuvalia Harusini!
Huwezi Kuuza Forward wawili wakali kwa Mpiga Namna hiyo Ukaacha Kupigwa kaka,
Walichofanya wamefanya Biashara tuu kuwauza Over..