FULL TIME || Simba SC 2 - 1 Mashujaa FC | NBC Premier league | KMC Complex | May 02, 2025

FULL TIME || Simba SC 2 - 1 Mashujaa FC | NBC Premier league | KMC Complex | May 02, 2025

Tembosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,771
Reaction score
4,491
1000082649.jpg

Litakufa Jitu Leo...
#nguvumoja#

VIKOSI VYA LEO
1. SIMBA
1000083198.jpg


2. MASHUJAA FC
1000083200.jpg


Updates...
Dk 04'
Simba wanafanya shambulizi kali , inakuwa kona.
Inapigwa haileti madhara.
Valentino..

DK 05'
Goooooooal Mashujaaa
Wanaweka chuma cha Kwanza.
Hapa
0-1

HT
Simba 0-1 Mashujaa.

2nd Half
Simba wamefanya mabadiliko matatu.
Kibu Inn
Zimbwe Inn
Shomary Inn
Duchu Out
Ouma Out
Balua Out

game on.
0-1

DK 65
Simba wanapata Penati.
Anapiga.
Ateba...
Gooooooooal
Simba wana level score board hapa.
1-1

DK 75,
Kipa wa Mashujaa analewa kadi ya njano ya pili (red card), baada ya kurudisha mpira uliokuwa nje ndani.
Simba wakiwa wanaenda kupiga kona.
Mashujaa walishamaliza Sub hivyo kipa anatoka ndani.
Itabidi wacheze 9 tu .
1-1

DK 90'
Zimeongezwa Dakika 15.
1-1

Dk 90+ 16'
Mpanzu anachezewa Faulo ndani ya box
Wanapata Penati anapiga Ateba.
Goooooooooooal...
2-1

FT
2-1
1000083503.jpg
 
Wanangu wa mashujaa,nipo tayari kukulipa pesa yeyote utakayohitaji,nataka wachezaji wafuatao waumizwe kimaksudi na wakae nje ya uwanja kwa zaidi ya miezi miwili.
Ngoma,kapombe,kagoma,kibu na mpanzu.
Tumia uchawi kuisaidia familia yako muondokane na ufukara mnaopitia.kwa Sasa...kuliko kuichawia Simba ama wachezaji wa Simba ambao kwa hakika kwa Sasa wanaogelea kwenye pesa ..mchezaji mmoja wa Simba anaweza kusaidia ukoo wenu wote wa kifukara
 
Tumia uchawi kuisaidia familia yako muondokane na ufukara mnaopitia.kwa Sasa...kuliko kuichawia Simba ama wachezaji wa Simba ambao kwa hakika kwa Sasa wanaogelea kwenye pesa ..mchezaji mmoja wa Simba anaweza kusaidia ukoo wenu wote wa kifukara
Mzee umetumwa?
 
Mzee umetumwa? akili za umasikini hizi kutukana mtu usiyemfahamu! njoo pm nikuoneshe ukwasi nilionao ili siku nyingine usiwe unaropoka.
Ukwasi Gani unaichawia Simba...matajiri hawana hizo pigo za kimaskin za kuchawiana ..matajiri wanachawia ili waendelee kua matajiri zaidi...
 
Ukwasi Gani unaichawia Simba...matajiri hawana hizo pigo za kimaskin za kuchawiana ..matajiri wanachawia ili waendelee kua matajiri zaidi...
mtu mwenye njaa anakasirika kwa vitu vidogo sana,mkuu kwanza umesoma coment yangu kwa kukurupuka, ktk coment yangu nimesema niko tayari kuwalipa kiasi chochote watakachohitaji ikiwa watawaumiza wachezaji tajwa,masikini ana pesa za kuwalipa wachezaji? Acha hasira za kimasikini piga boda mkono uende kinywani.
 
mtu mwenye njaa anakasirika kwa vitu vidogo sana,mkuu kwanza umesoma coment yangu kwa kukurupuka, ktk coment yangu nimesema niko tayari kuwalipa kiasi chochote watakachohitaji ikiwa watawaumiza wachezaji tajwa,masikini ana pesa za kuwalipa wachezaji? Acha hasira za kimasikini piga boda mkono uende kinywani.
Nikasirikke kwa lipi nakushangaa na ufukara wako unaichawia simba...Ukwasi Gani ulionao unaojitapa nao una muda wa kuichawia Simba...matajiri hawana hizo pigo za kimaskin za kuchawiana ..matajiri wanachawia ili waendelee kua matajiri zaidi...akili za kuwaza kumuumiza mwanaume mwenzako kisa ushabiki wa kipumbavu huo.sasa.ndio.tunaita umaskin ama ufukara uliokithiri..faken
 
Nikasirikke kwa lipi nakushangaa na ufukara wako unaichawia simba...Ukwasi Gani ulionao unaojitapa nao una muda wa kuichawia Simba...matajiri hawana hizo pigo za kimaskin za kuchawiana ..matajiri wanachawia ili waendelee kua matajiri zaidi...akili za kuwaza kumuumiza mwanaume mwenzako kisa ushabiki wa kipumbavu huo.sasa.ndio.tunaita umaskin ama ufukara uliokithiri..faken
lebholo lya ng`waso
 
Back
Top Bottom