October 29
JF-Expert Member
- Nov 5, 2024
- 3,148
- 4,452
..
Hakuna dakika 150 kwenye Mpira. Labda mechi ichezwe kwenye ule uwanja Kaunda!Leo kuna uwezekano wa mpira kuisha baada ya dakika 150.
Mbona hakuna aliyetoka!Nimekuta mchezaji wa KMC anatolewa shida ilikuwa nini?
Ikiendelea hivi moja moja itafika dakika 150 mkuu labda simba waongoze.Hakuna dakika 150 kwenye Mpira. Labda mechi ichezwe kwenye ule uwanja Kaunda!
Mchezaji wa match ndogo timu ndogoSafi Budo, unateleza kama kambale
Hata kama ni 280. Zitaongezwa kwa upande mmoja tu?Ikiendelea hivi moja moja itafika dakika 150 mkuu labda simba waongoze.
Hakuna kipa hapoCamara maclean sheet Vp jamani
NdioHata kama ni 280. Zitaongezwa kwa upande mmoja tu?
Simba akiongoza kama dakika zilizochezwa ni zaidi ya 90 basi refa atamaliza mpira ila kama bila bila au kafungwa basi mtanange utaenda hadi simba iongoze hata dakika zaidi ya 280.Hata kama ni 280. Zitaongezwa kwa upande mmoja tu?
Nguvu mojaKila laheri Simba SC
Ikiwa unatania ni sawaIkiendelea hivi moja moja itafika dakika 150 mkuu labda simba waongoze.
Hahaha, Hata masaa 24, kama kuna asiyeridhika akimbilie CAS.Simba akiongoza kama dakika zilizochezwa ni zaidi ya 90 basi refa atamaliza mpira ila kama bila bila au kafungwa basi mtanange utaenda hadi simba iongoze hata dakika zaidi ya 280.
Ninaweza kutabiri hii sio ID ya JK wala mzee ManaraSimba akiongoza kama dakika zilizochezwa ni zaidi ya 90 basi refa atamaliza mpira ila kama bila bila au kafungwa basi mtanange utaenda hadi simba iongoze hata dakika zaidi ya 280.
Wenye akili yanga wapo wengi sheikh ,si unajua jamaa ni ROPOROPO ndiyo maana watu wanamrecord.Ninaweza kutabiri hii sio ID ya JK wala mzee Manara