Full Time: NBC PL | Azam FC 0-0 Yanga SC | Mkapa Stadium | 15/03/2026

Full Time: NBC PL | Azam FC 0-0 Yanga SC | Mkapa Stadium | 15/03/2026

Protect

Senior Member
Joined
Apr 4, 2020
Posts
112
Reaction score
392
Timu ya soka ya Azam leo inaikaribisha timu ya Yanga kwrnye mechi ya NBC PL kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Screenshot_20260315_173621_Instagram.jpg
Screenshot_20260315_173736_Instagram.jpg
 
Mechi kati ya Azam na Yanga uwanja wa Mkapa inapigwa leo 15 Machi 2026 majira ya kuanzia 2:30. Kwenye msimamo wa Ligi Azam inashika nafasi ya 3 ikiwa na point 27 huku Yanga ikiwa ya 1 na point 35.

Timu zote 2 hazijawahi kupoteza mchezo, na leo Yanga yuko ugenini.
 
balaa tupu taifs kha

deposit tupe kamija ka lala salama basii
 
Back
Top Bottom