FULL TEXT: Hotuba ya Lema bungeni

FULL TEXT: Hotuba ya Lema bungeni

Hotuba ni nzuri ila imekosa tarakimu! pia haina sababu za kutosha (haswa katika kuishauri serikali). Mfano: kuboresha vyuo vya polisi (kipi kiboreshwe? je ni bajeti? wakufunzi? au....? Mfano mzuri ni hotuba ya Mh. Zitto, ilikuwa imejaa ushauri wa kitalaamu na tarakimu.
Anyway, BIG UP Mh. Lema!
 
Niko tayari kusitisha shughuli zangu apa dar es salaam na kwenda arusha kumpokea shujaa Lema. Tupe tarehe tuje a town!
 
Hotuba ya kuandikiwa Lema anaitoa wapi akili hiyo ya kuandika hotuba! Bogus yule kaandikiwa tu
 
hawa ndo watu tunaowataka...hakika chali wangu wa araaa yuko niaje aje mbyaaaaaaa
 
tunahitaji kina Lema ili nchi hii irekebishike.
Tumechoka na maneno ya majigambo ya watendai wa serikari.
 
Mi nafikiri haina maana ya kujikusanya na kwenda kumpokea.......labda tu kwasbabu hatuna kazi za kufanya.........hayo ni mambo anayotakiwa kuyasema mara kwa mara na kuikosoa serikali na kuwakosowa wenzake pale wanapokosea ................NO BIG DEAL

Ukiwa na roho ya aina watu wanaweza kudhani wewe ni mchawi hakika .No big deal lini CCM wamesimama wakasema haya kwa uwazi ? Wanao taka kumpokea ndiyo walimpa kura sasa wewe how comes useme no big deal ? What is big deal then kukaa gizani na majibui hovyo hovyo ya JK ?
 
Hotuba ya kuandikiwa Lema anaitoa wapi akili hiyo ya kuandika hotuba! Bogus yule kaandikiwa tu
<br />
<br />
hahaaaa hotuba keshaandika imeshasomwa magamba macho kodoooo. dawa yenu yaja tutawachapa kwa hoja wakati mnalala bungeni na kukoroma tuuu huku mkitaka tuishi maisha ya mwaka 47 ya kuzibana midomo. hakuna tena hiyoooo ukombozi upo milangoni petu CCM lazima muozee kwenye mitaro. wezi wakubwa wa mali ya umma
 
Ni sawa kabisa mkuu,&lt;br /&gt;<br />
Nadhani Mh. Rais (JK) anao uelewa wa kinachoendelea kuhusu CDM ndiyo maana kila muda unakuta anashangaa (Mfano Dodoma kwenye semina alisema &amp;quot;mbona serikali ya CCM imeleta maendeleo mengi tu na &lt;font color=&quot;#ff0000&quot;&gt;&lt;i&gt;&lt;b&gt;sijui kwa nini&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;&lt;/font&gt; viongozi wa serikali hawayasemi?&amp;quot😉, tatizo lilopo kwa viongozi walio wengi ni kufanya kazi kwa kuogopa kivuli cha walio juu yao badala ya kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na kanuni.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Serikali ya CCM maendele waliyotuletea ni miaka 50 ya uhuru :-<br />
1.Bila umeme<br />
2.ku import samaki wakati tuna mabwawa, maziwa, na bahari zinye samaki.<br />
3.viongozi kufanya makosa bila kuwajibishwa<br />
4.siasa za uongo<br />
5.ufisadi uliokithiri<br />
6.majibu yasiyotarajiwa kama &quot;serikali haiwezi kuwa mawingu ikaenda kunyesha mtera<br />
7.uchakachuaji wa kura<br />
8.kuwanyanyasa wazee wa East Afrika<br />
9.umasikini uliokithiri kwa watanzania<br />
10.kukosa vita nakuamua kuwafanyizia raia wao.<br />
Pamoja na mengine mengi naona ni maendeleo hasi
 
Hotuba ya kuandikiwa Lema anaitoa wapi akili hiyo ya kuandika hotuba! Bogus yule kaandikiwa tu

Tukikuandikia wewe hiyo hotuba utaweza kuisoma? kila mtu ana professional yake hata hotuba za maraisi hawaandiki wao lakini president anaisoma bogus wewe na upeo wako mdogo wa kufikiria hata kwenye zuri husifiii we nape nini?
 
Hotuba ni nzuri ila imekosa tarakimu! pia haina sababu za kutosha (haswa katika kuishauri serikali). Mfano: kuboresha vyuo vya polisi (kipi kiboreshwe? je ni bajeti? wakufunzi? au....? Mfano mzuri ni hotuba ya Mh. Zitto, ilikuwa imejaa ushauri wa kitalaamu na tarakimu.
Anyway, BIG UP Mh. Lema!


inajulikana fika tatizo la kupika data tz ni sugu hakuna uhalisia kabisa mfano hapo ajali za barabarani ni ngapi zinaishia eneo la tukio kwa maelewano yanayoratibiwa na traffic au vifo visivyorekodiwa kabisa? ukitaka data za raia wangapi wameuwawa na polis nenda mwenyewe kila kata uulize mfano hapa mimi roughly nina watu 20 kwa 2011 hii

swala la kuboresha rudi usome hotuba yote lipo wazi
 
Hotuba ya kuandikiwa Lema anaitoa wapi akili hiyo ya kuandika hotuba! Bogus yule kaandikiwa tu
<br /> <br /kwa hiyo umeikubali kiaina kuwa hotuba yake kuwa ni ya kweli tupu na ni msumari wa sumu kwa ccm, ila kinakuuma sn kwa lema kuongea ukweli, BADO MISUMARI MINGINE INAKUJA MTAIPATA. PEOPLESSSSSS
 
weraa machalii wa arusha tutakua phlips tunamsubiri kamanda wetu mpambanaji MH SANA GODBLESS LEMA
 
Ukweli huwa haupingwi ila huwa msema ukweli anasurubiwa. Magamba watawahangaisha kina Lema, wapenda na watenda haki lakini wajue leo na kesho sio sawa na jana na juzi.
 
Nimemsikiliza lukuvi, anasema hotuba ya lema imejaa matusi na vitisi, mbona sioni hayo yatu?
 
Back
Top Bottom