siku wakipata kazi za kufanya wataacha kudanganywa na kina form two - lema na madisko joka mbowe!
Maskini hawa askari wetu kumbe wanakatwa 5000/= kila mwezi za kuandaa mazishi yao.
Natamani maandamano ya kudai warudishiwe pesa zao yaje upesi nione nani atatupiga mabomu.
Tuijenge nchi,tuangalie nini kitafanyika baada ya hiyo "hotuba kali" kutolewa,...
kuandamana kwa kila kitu ni ujinga sasa!!!!
Hamna tofauti na msiwashangae wale wanao andamana "kupongeza hotuba nzuri ya JK"!!!!
This is wastage of the time we don't have