Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,240
Lema amedhihirisha kwamba elimu ya uraia inampa ujasiri wa kuhoji uvunjifu wa haki unaofanywa na serikali yetu. He is so smart for real.
I love this new style of politics
UTANGULIZI-----------------------
"...Mheshimiwa Spika, natoa pia shukurani zangu za dhati kwa familia yangu, Mke wangu Neema Lema, watoto wangu, Allbless Lema na Brilliant Lema, na wazazi wangu wote, Mzee Elibariki Jonathan Lema na Mama"
Salama kama hizi nadhani waachie CCM, inatosha kushukuru wapiga kura, chama na ofisi ya Bunge; Huo ndio ushauri wangu.
Otherwise CDM wamejipanga kuliko hata serikali iliopo madarakani sijui kwanini hawataki kupisha ili hili hii nchni isonge mbele.
Tumsifu yesu kristo