MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Chadema hawajui nini wanataka. Kutwa wako kwenye maandamano badala ya kuhamasishana kushiriki kwenye uundwaji wa mabaraza ya katiba...
Kudai katiba mpya ilikua kisingizio cha kushindwa uchaguzi wa 2010. Kwao njia nzuri ya kuelezea mashabiki wao kwa nini walishindwa haikua kuwaambia kuwa hawa kubaliki kama walivyo dhani bali kwamba katiba iliyopo ilikua inapendelea CCM. Huwezi kudai kitu kisha ukikubaliwa ukikatae. Wao hawakutegemea serikali ingekubali mchakato wa katiba mpya.