KennedyMmari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 979
- 183
Chadema sio chama makini. Kingekuwa chaam makini kisingengoja mama Migiro aje kuwakumbusha umuhimu wa kuhamasisha wanachama na viongozi wake kushiriki mchakato wa uundwaji wa mabaraza ya katiba.
Wao kutwa kuandamana mpaka mambo ya msingi yanawapita halafu wanalia lia tu.
Hawa watu HOVYO kabisa...
nahisi we ZeMarcopolo utakuwa Zombie
Last edited by a moderator: