Huyu Okrah ndio nani? Au ndio yule aliyetoka Simba Sc?Leo refa kaona aibu kidogo!! Lakini Leo kulikuwa na tukio la mechi kusimama Okrah alipoumia lakini zimeongezwa dk 5 wakati juzi hakikuwa na tukio la mechi kusimama lakini ziliongezwa dk 7!! Jku waliibiwa pointing Yao 1 na wananchi!!
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app