Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,900
- 45,553
- Thread starter
- #21
Nguvu MojaNa ikawe kheri kwetu
Nguvu MojaNa ikawe kheri kwetu
Biashara asubuhi...Nguvu MojaJaman hata KIBU hajapiga mswaki tayari Update
Anyway kila la kheri mnyama
Ahsante sana. 🫡🫡kila la kheri watani
Leo ushindi wa kishindoKila la kheri Chama Langu SSC!
Niombee sana kuna maadui pia wanafanya juhudi mnyama ashindweOle wako ukosee kuangalia utaenda kulala kijiweni kwako Biafra
Nguvu MojaKila la kheri Mnyama.
#NguvuMoja
Mapema sanaKwahiyo tuweke hela yote siyo
Ngoja nikuweke kiporo kwanza usinitoe kwenye mstariFix sana we jamaa.. leo mtapigwa kipigo cha mbwa koko,kipigo ambacho chozi lake litawatokea ulimini! Kipigo Chenye pigo lisiloisha ukali wake!
Sema humu jf watu wana himaya zao washajitengenezea mfano wewe mkuuNimechungulia vibuyu nimeona Mnyama akitamalaki nyumbani kwa ushindi mnono wa mbili bila
Sawa kiongoziNiombee sana kuna maadui pia wanafanya juhudi mnyama ashindwe
Wanawachukulia poa horoya halafu ushindi wa vipers umewasahaulisha kwamba wao ni wabovu , sasa leo ndo ile siku watu wanaenda kuaibikaKila lenye heri liwe kwenu horoya timu yangu ya utotoni