Wakati wa ujana wangu nilipiga magwaride mengi sana pale "Uwanja wa Taifa" (wakati huo) mbele ya Nyerere. Ndio Uwanja uliokuwa na viti vingi sana kuliko kiwanja chochote Tanzania. Hata Uwanja wa Karume ulikuwa bado sana.Hakuna uwanja ambao siuelewi kama uhuru stadium hua hatuko confortable kabisa kwenye ile pitch hua tuna struggle sana, sijui kwanini Simba hakuchagua Azam Complex!!!
Tulikuwa tuna struggle mwanzoni kwa sababu ya aina ya uchezaji.Hakuna uwanja ambao siuelewi kama uhuru stadium hua hatuko confortable kabisa kwenye ile pitch hua tuna struggle sana, sijui kwanini Simba hakuchagua Azam Complex!!!
Kama umepiga gwaride mbele ya Nyerere wewe ni mkongwe ✌️Wakati wa ujana wangu nilipiga magwaride mengi sana pale "Uwanja wa Taifa" (wakati huo) mbele ya Nyerere. Ndio Uwanja uliokuwa na viti vingi sana kuliko kiwanja chochote Tanzania. Hata Uwanja wa Karume ulikuwa bado sana.
KweliKama umepiga gwaride mbele ya Nyerere wewe ni mkongwe ✌️
Naipenda SIMBA yangu naitakia ushindi mnonoView attachment 2842831
Match Day.
Simba Vs Kagera Sugar
Time 1600.
15.12.2023.
Uhuru Stadium.
All The Best Mnyama.
#nguvumoja#
Humu tupo wakongwe wengi tu katika uwanja huo nimepiga haraiki ya miaka 20 ya TANUKweli
Sibishi, mimi siyo chicken spring. Hata muda niliotumia kama member hapa JF ni zaidi ya umri wa wanachama wengi leo.
Kweli sifatilii mpira!View attachment 2842831
Match Day.
Simba Vs Kagera Sugar
Time 1600.
15.12.2023.
Uhuru Stadium.
All The Best Mnyama.
#nguvumoja#