FT: Simba 2 Namungo 0. Simba yatinga fainali ya Mapinduzi Cup 2022

Namungo hawakupaswa kumpanga Nahimana. Huyu ni golikipa anayecheza kinazi Sana dhidi ya Simba tangu zamani.

Goli zote mbili kafungwa kizembe:

Aliondoka KMC Kwa kuifungisha timu kizembe kila KMC ilipocheza na Simba, Kama hiyo haitoshi Nahimana alinukuliwa katika kipindi cha Sports Arena akisema anapenda Simba. Kauli iliyomuondoa KMC .

Namnukuu mwenyekit wa KMC

Kheri ambaye pia ni diwani wa Bunju alisema kuwa kwa mchezaji wa aina yake na nafasi anayocheza na umuhimu wake kwenye timu, Nahimana hakupaswa kuonyesha mapenzi kwa timu ya Simba wakati bado ana mkataba na timu yake.
Ulitazama mechi? Unamlaumu Nahimana kwa kosa gani?

Utopolo unatafuta angle ya kujifariji.
 
Ulitazama mechi? Unamlaumu Nahimana kwa kosa gani?

Utopolo unatafuta angle ya kujifariji.
😇😇😇😄😄Amevurugwa na hesabu huyo.

😄😄 Hesabu ni nzuri sana eeeehh, mwalimu nikumbushe, niweze kukumbuka....... moja mbili, tatu nne, tano sita, saba nane tisa...........

Loooh hapo imekosekana 10 pekee kukamilisha ubeti wa chekechea
 
Simba ni rahaaaa mnoo halafu mashabiki zake hatunaga stresss kwanza ligi hii ndo hatuna kabisaaa stress. Stress wanazo upande wa pili wanawaza ubingwa uende kwa Simba mara 5 mfululizo tutaeleweka kweli?
 
Namungo hawakupaswa kumpanga Nahimana. Huyu ni golikipa anayecheza kinazi Sana dhidi ya Simba tangu zamani.

Goli zote mbili kafungwa kizembe:

Aliondoka KMC Kwa kuifungisha timu kizembe kila KMC ilipocheza na Simba, Kama hiyo haitoshi Nahimana alinukuliwa katika kipindi cha Sports Arena akisema anapenda Simba. Kauli iliyomuondoa KMC .

Namnukuu mwenyekit wa KMC

Kheri ambaye pia ni diwani wa Bunju alisema kuwa kwa mchezaji wa aina yake na nafasi anayocheza na umuhimu wake kwenye timu, Nahimana hakupaswa kuonyesha mapenzi kwa timu ya Simba wakati bado ana mkataba na timu yake.
Ficha ujinga wako ile shuti ya sakho aliipangua kwa akili mno kabla kagere haujamkuta ule mpira na kufunga....kumbuka kagere alitumia akili nyingi mno kuudundisha ule mpira maana angesema apige chini tu nahimana angeudaka vizuri mno


Bao la pili kipa yoyote duniani anafungwa

Game ya ligi ile header ya kagere kipa yoyote duniani anafungwa
 
Lile beki la namungo jinga Sana lilikaba kizembe hadi kuruhusu goli la pili hata mimi ningezuia mpira ule.
Kwenye mpira mchezaji unatakiwa uwe na hesabu.
Hesabu za yule beki ilikua ni kumzuia Sakho kwenye njia badala ya kuzuia mpira.

Sakho angekua ndo Mugalu au Kagere angeshindana nguvu na yule beki lakini Sakho akatumia hesabu kubwa zaidi za kumkwepa yule Nyati pori beki wa Namungo
 
Back
Top Bottom