Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,741
- 3,695
Nguvu moja
Tunasherehekea ubingwa wa pili musimu huu.Hatimaye Mtani Kanyanyua Kwapa.
Hatimaye Mtani Kanyanyua Kwapa.
Hata saa mbovu kuna wakati inakuwa nzimaKama humkubali ilikuwaje siku ile akamtungua Diarra kipa bora wa team ya taifa Malí?
Kabisa Makolokolo ni Bingo, ulijuaje we MasandakolozidadSimba ni bingwa halisi wa Tanzania.
Kwa bahati mbaya huyu bungwa wa Tanzania kama hatoshika nafasi ya pili kwenye ligi ya Tanganyika, basi ubingwa wake wa Tanzania hautomfanya ashiriki klabu bingwa Africa msimu ujaoMabingwa wa Tanzania wale wengine ni mabingwa wa Tanganyika....
UBUNTU BOTHO
BOTHO ha ha haMabingwa wa Tanzania wale wengine ni mabingwa wa Tanganyika....
UBUNTU BOTHO
Asiposhiriki wee unaumia nini kijana wa jangwani?Kwa bahati mbaya huyu bungwa wa Tanzania kama hatoshika nafasi ya pili kwenye ligi ya Tanganyika, basi ubingwa wake wa Tanzania hautomfanya ashiriki klabu bingwa Africa msimu ujao
M50 msimu huu kwa kucheza mechi mbili sijui tatu.Na Mwakani Mkisusa tena ,Simba itashiriki....!
UBUNTU BOTHOKwa bahati mbaya huyu bungwa wa Tanzania kama hatoshika nafasi ya pili kwenye ligi ya Tanganyika, basi ubingwa wake wa Tanzania hautomfanya ashiriki klabu bingwa Africa msimu ujao
Mbona Hatukususa Ni Utaratibu Tu Mlichaguliwa Si HatukupendekezwaNa Mwakani Mkisusa tena ,Simba itashiriki....!
Hongereni Watani Mje Mchukue Na Ligi Kuu Huku Maana Msimu Wa Tatu Sasa Mnaliangalia TuTunasherehekea ubingwa wa pili musimu huu.
Mpe heshima yake sasa FreddyHata saa mbovu kuna wakati inakuwa nzima
Huwa tunaliangalia tu huku tukiruka kimataifa zaidi. NBCPL haina mshiko kama wa CAFCL, tumepiga hela ndefu sana huko kwa muda mrefu mrefu. Tuna utajiri wa kutosha kuliko nyie manaochukua ligi ya NBCPL na bado mnabaki kuwa akina pangu pakavu tia mchuzi 😁Hongereni Watani Mje Mchukue Na Ligi Kuu Huku Maana Msimu Wa Tatu Sasa Mnaliangalia Tu