Simba hamtoboi leo...View attachment 2975158
View attachment 2974960
Naitakia Simba Ushindi.
nguvumoja .
KIKOSI CHA AZAM KITAKACHOANZA
View attachment 2975502
KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA
View attachment 2975503
Mechi saa ngapi?Simba hamtoboi leo...
2015 hrsMechi saa ngapi?
Kama Coastal walivyozembea leoAzam Fc washindwe kwa uzembe wao wenyewe kumchinja mnyama.
We kitimoto uliponaje kwenye sikukuu ya eid ukaachwa kuliwa?Magaidi FC Vs Nguruwe FC
Mnaanza hiv hiv halafu mwakani mnaonekana mkilitaka.Yaaani hili ni bonanza ama ndondo
Tuipe jina gani?
Azam 4
Simba 0
Friends of Azam tunawatakia Azam fc ushindi wa kishindo.....
Mzee Saido inawesekana anayo hisa kwenye Nguruwe FC
Wanamgomea nani sasa?Hivi hawa wachezaji wa Simba wanavyocheza bila ya akili ya kimpira au kujituma wanategemea nini hasa? Ni timu gani itawachukua wakiachwa kwa uchezaji wao huu? Au ni wachezaji wazuri ila wako mgomo baridi?