FT: Barcelona 3-2 Real Madrid | El Classico - the World Class Derby | 26.4.2025

FT: Barcelona 3-2 Real Madrid | El Classico - the World Class Derby | 26.4.2025

Nadhan babu hii itakua match yake ya mwisho, walikua na mipango wa kutangaza caretaker baada ya hii match.
 
Bado may 11 Barcelona anamsubiria kwakwe kwenye Laliga,huku Bellingham, Vasquez na Rudiger wote wana Red na wakati babu Lewandoski atakuwa karudi. Naona kabisa Madrid watakavyo kula mkono.
 
Bado may 11 Barcelona anamsubiria kwakwe kwe Laliga,huku Bellingham, Vasquez na Rudiger wote wana Red na wakati babu Lewandoski anatakuwa karudi. Naona kabisa Madrid watakavyo kula mkono.
Mafuriko yatakuwepo
 
Lamine Yamal ana miaka 17 ila maturity yake ni kubwa mno,utazani anamiaka zaidi ya mitano Barcelona.
The boy himself.
Screenshot_20250427-103138_Facebook.jpg
 
Kwani huko hakuna kukimbia mechi kama huku bongo?
Ukimbie uende wapi huku mechi ikipangwa tarehe fulani inapigwa tarehe hiyo hiyo, Barca alikuwa na mechi kumi mfululizo anapumzika siku mbili mechi mbili mechi, akaomba baadhi ya mechi zisogezwe mbele La Liga wakakataa. Madrid mechi ya Marudiano na Arsenal baada ya kupigwa mechi ya kwanza akaomba, mechi yake ya ligi ambayo iliyo pangwa na Laliga ichezwe Jumapili ,akaomba ichezwe jumamosi Laliga wakakataa na Madrid akacheza siku ile ile ya Jumapili iliyo pangwa. Mechi ya Jana Madrid walikuwa wanalamikia marefa wabadilishwe Laliga wakakomaa kwamba marefa hawa hawa tulio wapanga ndio watachezesha hiyo mechi.

Kwa kifupi vyama vya wenzetu ulaya vina nguvu halafu cha pili kule kuhairisha mechi kwa sababu za kipuuzi ni hasara,kwani wanao simamia production wanaweza wakadai fidia kubwa sana, sababu set up ya mechi moja gharama yake ni kubwa.Hiyo May 11 hamna kukimbia.
 
Ukimbie uende wapi huku mechi ikipangwa tarehe fulani inapigwa tarehe hiyo hiyo, Barca alikuwa na mechi kumi mfululizo anapumzika siku mbili mechi mbili mechi, akaomba baadhi ya mechi zisogezwe mbele La Liga wakakataa. Madrid mechi ya Marudiano na Arsenal baada ya kupigwa mechi ya kwanza akaomba, mechi yake ya ligi ambayo iliyo pangwa na Laliga ichezwe Jumapili ,akaomba ichezwe jumamosi Laliga wakakataa na Madrid akacheza siku ile ile ya Jumapili iliyo pangwa. Mechi ya Jana Madrid walikuwa wanalamikia marefa wabadilishwe Laliga wakakomaa kwamba marefa hawa hawa tulio wapanga ndio watachezesha hiyo mechi.

Kwa kifupi vyama vya wenzetu ulaya vina nguvu halafu cha pili kule kuhairisha mechi kwa sababu za kipuuzi ni hasara,kwani wanao simamia production wanaweza wakadai fidia kubwa sana, sababu set up ya mechi moja gharama yake ni kubwa.Hiyo May 11 hamna kukimbia.
Siyo vyama vya mpira wazungu kwenye mambo mengi wamenyokaa huwa hawaendeshwi na hisia kama huku .
 
Back
Top Bottom