Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,883
- 13,263
Mpira ni mchezo wa kikatili,na ball possession yetu ya namba ya kiatu Uganda katokaPosesheni 19.6% TZ...
Duh hii Kali...
Mpira ni mchezo wa kikatili,na ball possession yetu ya namba ya kiatu Uganda katokaPosesheni 19.6% TZ...
Duh hii Kali...
Nafasi mia au unakuza mambo!!??hakuna mchezaji pale, nafasi 100 anapata 1
Nakubaliana na weweTukipata hata sare moja tu kwenye hayo mashindano, basi kwa upande wetu itakuwa ni ushindi tosha sana.
Ulitarajia ukutane Hawa mbwa uchrze samba loketo!? KOCHA kafanikiwa!Hongera stars ingawa mpira ulikuwa mbaya
Ulitaka alie? acha uchawi.Eti Mzize naye anafurahia
Pamoja na haya lkn kisoka tutapanda.Posesheni 19.6% TZ...
Duh hii Kali...
Unaujua mpira?we nadhani ukipewa namba ya kibu unaweza kujifanyia shambuli golini kwakohakuna mchezaji pale, nafasi 100 anapata 1
Tumefuzu!? Hatujafuzu?!Hongera stars na watz wote. Hii inaitwa scrapping through.... ball possession 19%, pass accuracy 46%
Hakuna shida. Wengine wanapongezwa mpaka na wake zao as long as ni watanzania."Tunaipongeza serikali ya CCM, tunampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mama Samia Suluhu Hassan...."
Atasikika mwanasiasa mmoja bungeni...
Hatujawahi kuwa na presha tunapocheza na timu ndogohuyo refa anataka kutuonesha mashabiki wa yanga vile simba walikuwa na presha ya vipi ngao ya jamii.
Kwa kipi alichofanyaUlitaka alie? acha uchawi.
Punguza uchokoTumefuzu ila tunaenda kutia AIBU huko Ivory Coast
Ulisema tunafungwa acha visingizio mnafki weweMpira ni mchezo wa kikatili,na ball possession yetu ya namba ya kiatu Uganda katoka