Kun Jr
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 700
- 361
Mkuu punguza Jazba, kuna article flani niliisoma kuhusu Forbidden knowledge na vitabu vilivyopgwa marufuku (unaweza ukagoogle) na ukiangalia in real sense mafundsho yale hayana tofauti na baadhi ya mafundisho ya kiislamu sorry for that but ndiyo ukweli ukija kwenye ukristo unagundua kabisa kwanini Book of Enoch kilitolewa kwenye biblia. Hii ni dunia ya sayansi na teknolojia ukiamua kuamka fanya hivyo peke yako usitake kila mtu afanye hivyo. Asanteukweli tu usemwe kwenye jf kuna baadhi ya watu wanauchukia sana uislam na waislam wenyewe na vitabu vyao ,maana nmeifatilia sana uzi huu kutoka mwanzo mpaka mwisho na nimeona fact nyingi zilizohusishwa na biblia juu ya elimu ya siri na sjaona povu au kejeli ya aina yoyote but kwa watu wawili walioanza kushambuliwa bi faiza fox na zurri ndo nkajua kwa nini world order inasimama kwa dini ya kikcristo ambayo freemason wamejifichia ndani yake ili kukamilisha agenda zao na kiongozi ataesimama kama ndo leader atakua ni mkristu from catholic .sisi tunaelewa kua uislam unapakwa matope kwa kila njia ulimwenguni ili waliokua na roho nyepesi waamini kua waislam ni magaid ,na hatarishi katka ulimwengu kumbe kwenye uhalisia ni wrong ila naamini ipo siku ukweli utajuilikana tu .