Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Ninavyojua zaidi ya 70% ya pato la nchi linazalishwa Dar na wanaume na wanawake wa hapahapa Dar ndio wanaozalisha wangekuwa kama unavyodai hilo lisingewezekana.
Halafu pia nani kakwambia kama anakutaka
wewe,mbona unahashuka??!!!
hii siyo kweli kila ukiona nacho Dar kinamkono wa kutoka bara...............chunguza Dar is a mere merchant city, that is all.......viwanda vipo hapo kwa sababu ya bandari lakini mali ghafi zatoka mikoani.............