From my files: Mbwembwe, raha na manjonjo ya kitandani

From my files: Mbwembwe, raha na manjonjo ya kitandani

Hahahaaa. Wala Hajar hajakula kitu. Ila Mbalizi huyo ndio sababu.

Maana anavyommwagia mistory mpaka anakaribia kuvunjika mbavu rafiki yako. Hahahaaaa.
Mfanyie manjonjo wako uone anavochachawa hahahaaa
 
Kuna vitu vingine vinakuwa vya kijinga Sana lakini vinafurahisha kishenzi yaani
 
Hahahaaaa. Itabidi unipatie na mie basi nianze kwanza kuyasoma ndipo nijaribu kuyafanyia kazi kama yatawezekana.
Sasa wewe ngoja tukutafutie ile ya beginners kwanza, usije ukaungua ulimi bure maana mengine ya moto hayo
 
Nashangaa wanasema nyama ni ileile wakati radha ni tofauti kabisaa na wanalijua hilo..
Anayesema ladha ni ile ile amezeeka, milango yake ya ku test na ku sense utamu imepoteza nguvu kwa hiyo anaona nyama za mabucha yote kama zinafanana vile. Kiuhalisia zina tofautiana sana utamu, ugumu, ulaini, harufu na hata uvutikaji wake kutegemea na matunzo, malisho na majaaliwa tu ya kila nyama kutoka kwa Maulana
 
Back
Top Bottom