From Madame B to Mung Chris...

From Madame B to Mung Chris...

sawa mama nafuta kishingo upande.
ila Madame B nikisoma-ga reply zako naona kama sipo jf nipo kwenye ka-ulimwengu fulani hivi
au mwandiko wako unaupiga na manukato ya kitanga?
Swadaktaaaaa
Si unajua sie watanga kwa marashi ya uturi na al-udi!
Basi vivyohivyo kwa mwandiko wangu, nimeufusha kwa fusho la uturi wa marashi ya hudyiiii....
 
Baba yako na mama yako wangetumia condom ungezaliwa wewe.
Yes...kwetu condom ni msamiati kama ilivyokuwa kwa wazazi wako wakati wanakutafuta wewe
Haleluya haleluyah jina la bwana lihidimiwe

Hongera sana madam kwa kumpata wa kukutuliza hata ungekuwa umekutana nae mwezi mmoja ulopita

Humu kuna wanaume wana viherehere utafikiri wanaliwa wao mxiiiiiieeeeeew
 
Haleluya haleluyah jina la bwana lihidimiwe

Hongera sana madam kwa kumpata wa kukutuliza hata ungekuwa umekutana nae mwezi mmoja ulopita

Humu kuna wanaume wana viherehere utafikiri wanaliwa wao mxiiiiiieeeeeew
Haleluya lisifiwe kweli kweli

Yaani mwanaume eti ananionea wivu kupata mimba na kupata bwana...nilishangaa sana aisee.
Yaani huku kuna wanaume wana viherehere kama panya mbele ya mgeni.
Eti wanauliza miezi 3 na mimba juu.
Aliyewaambia mimba inachukua miaka kuingia nani!!!

Tunakoelekea tutagawana nao vijora kwa kweli.
Ushakunaku tu wamezoea.
Wakalale nae sasa nao watiwe mimba.
Mschewwwww......
 
Hongera dada angu msambaa mwenzangu nasubiri kucheza mdumange kwa hamu tukitambika na pombe yetu ya boha

Wasambaa oyeeeee

 
Duh! Kumbe watu wanafanya kweli! Bac muiteni 'Pastor' Max Melo aje awafungishe ndoa kabisa kuhalalisha uhusiano wenu.
 
Kashatoa mimba nyingi leo tunamwita mwali mwali? tupigeni magoti tusali tazama urembo umewazidi nguvu wasichana, muda unazidiwa mbio maisha ya ujana nnamashaira adim zaidi ya bikira uswahilini falo me.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom