From Madame B to Mung Chris...

From Madame B to Mung Chris...

Hivi haya mambo huwa ni kweli eeeh!!!?, Ila una haraka sana bibie, miezi mitatu tu tayari umeshakuja kuutangazia uma? Kwa huo muda nina uhakika hata tabia hamjajuana Pole sana!
 
Watu kama ninyi hamkosekani katika jamii.
Sihitaji pole yako na wala sihitaji kujua lengo lako.
Mwanaume msimamo, tutarekebishana
Hivi haya mambo huwa ni kweli eeeh!!!?, Ila una haraka sana bibie, miezi mitatu tu tayari umeshakuja kuutangazia uma? Kwa huo muda nina uhakika hata tabia hamjajuana Pole sana!
 
Watu kama ninyi hamkosekani katika jamii.
Sihitaji pole yako na wala sihitaji kujua lengo lako.
Mwanaume msimamo, tutarekebishana
Ndiyo, watu kama sisi tunaosema ukweli huwa hatukosekani, mojawapo ya makosa makubwa wanayoyafanya watu ni harakaharaka kama hizi, kumbuka huyo jamaa utahitaji kuzeeka nae, so sio suala la mzaha, inatakiwa kutafakari sana, hivyo inahitaji muda mrefu kufanya maamuzi, sio miezi mitatu tu..

Anyway, tayari mmeshavimbishana vitumbo, hapo hakuna namna tena, ni kuwaombea tu mzimudu changamoto za mahusiano, am sorry for any inconvinience due to my posts!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom