From Madame B to Mung Chris...

From Madame B to Mung Chris...

Hahahahha
We Asprin unaanza mbwembwe zako eeee.

Hayo yalishapita bhana, nitaanza kulia hapa.
Dada amesharudi kama shemeji, anaanza safari ya kulea kichanga.

Nenda Pm yake ila nakukumbusha tu, shem ile bastola yake kaenda kuikatia kibali tena, hivo kuwa makini.
Kipindi kile ulikoswa ila safari hii atapasua bichwa hilo.
Basi kama ni hivyo wacha niendelee kujaribu bahati yangu kwa manengelo
 
Waoo
Asante sana cocochanel.
Kiukweli jamaa ni jasiri, maana aliruka viunzi na changamoto zote zilizosemwa juu yangu na kuamua kusonga mbele.
Hakujali waja wanasema nini.
Wapo waliomvunja moyo,
Wapo waliomkatisha tamaa.
Ila niseme tu ukweli kuwa hawajui kuna maisha nje ya Jamii forums.

Haya maisha ya kujificha nyuma ya keyboard yana ukomo wake.
Si kila mara tutajificha.
Inabidi muda mwingine tuwe-wahalisia ili mambo na vitu vingine visitupite.

Wanaume nitaendelea kuwachangamsha mpaka pale nitakapofika ukomo kwamba siwezi hata type au kushika simu, maana nitakuwa na ulezi wa baba na mtoto.
Asante sana.
Nashukuru
Nitaingia huko soon, japo niliyapitia nyuma, ila kila mwanaume na uleaji wake....🙂🙂🙂

Safi sana

Hongera nyingi kwenu kwa kupendana.
 
jamani masikin hii ndo naisikia leo !dah!hv kweli ben ht wewe hujui alipo?dah hata hvyo umejitahidi maskn!dah apumzike kwa aman BEN!pole sana my dear!
Amina.
Yalishapita.
Hata sijui alipo.
Nilikuwa naenda kuulizia kila siku ila hapakuwa na majibu.

Nikaacha maisha yaendelee.
Asante mpenzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom