Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Hahahhah
Jamaniiii
Mung Chris wangu mpole sana.
Japo anaambiwa hataniweza, ila nina imani ataniweza tu maana mwanamke ana uleaji wake
Sie tutadumu....tutawaletea vijukuu tu mlee maana hapa nahisi kama nina mapacha.
Nitalea mpaka nichanganyikiwe
akiamua atakuweza! usiache kumwambia unapenda ufanyiwe vitu gan uhusiano wenu udumu! wanawake tuna kawaida ya kususa!men anajisahau majukumu yake bas sisi tunazira tunagekuia kwa wengne!arghhh mby sanasana!