From Madame B to Mung Chris...

From Madame B to Mung Chris...

hahahaha kasahau tena wanaume lifespan yao ni nyembamba! hahaha nimecheka sana aisee
Halafu sasa wala hatukuwa tumefunga ndoa.

Huyu anamsemea Ben Saanane (r.i.p)
Alikuwa mpenzi wangu na wala si mume kwa maana hatukuwa tumefunga ndoa.
Huenda asingepotea/asingefariki, huenda ndie angekuwa baba wa mtoto/watoto wangu.
Sitaki kukumbushwa machungu.
Tuache alale salama alipolala Ben....😕😕😕

Uzuri hata Mung Chris nilimueleza hili na analijua vyema.
Kwahiyo manengelo, acha binadamu waseme mpaka wachoke
 
Hahahahah.....eti uliposahau miwani.
Una hatari hujijui tu.

Nina imani atakuja humu.
Tuitumie tu mitandao vyema.

Asante mpwa, nasongesha gurudmu la maisha sasa na maisha mapya na mwenzangu
Nakutakia kila kheri mpwa na maisha mema wewe na chaguo la moyo wako......

Kumbuka nguzo kuu ya penzi imara ni kuvumiliana na kusameheana.....

Mungu awasimamie kwenye maisha yenu na uzao wenu
 
Halafu sasa wala hatukuwa tumefunga ndoa.

Huyu anamsemea Ben Saanane (r.i.p)
Alikuwa mpenzi wangu na wala si mume kwa maana hatukuwa tumefunga ndoa.
Huenda asingepotea/asingefariki, huenda ndie angekuwa baba wa mtoto/watoto wangu.
Sitaki kukumbushwa machungu.
Tuache alale salama alipolala Ben....😕😕😕

Uzuri hata Mung Chris nilimueleza hili na analijua vyema.
Kwahiyo manengelo, acha binadamu waseme mpaka wachoke
Kumbe ndugu yangu alishakukula?

Na hiyo RIP mbona sielewielewi?

Msalimie dadaako afu heshima ishike mkondo. Vinginevyo natoa siri zako kwa jamaa...

Mwambie dadaako aondoe sana nshanunua bastola
 
Madam B daah mtoto wa kitanga ndio ashatupunyoka wawindaji .
Ndo nishawaponyoka kabisa.
Nyie mnaishia kuniita mpenzi jukwaani.

Wenye nia wanakuja kuniita mpenzi in real life.
Msijali....windeni tena, hili pori lina wanyama wengi sana
 
Halafu sasa wala hatukuwa tumefunga ndoa.

Huyu anamsemea Ben Saanane (r.i.p)
Alikuwa mpenzi wangu na wala si mume kwa maana hatukuwa tumefunga ndoa.
Huenda asingepotea/asingefariki, huenda ndie angekuwa baba wa mtoto/watoto wangu.
Sitaki kukumbushwa machungu.
Tuache alale salama alipolala Ben....😕😕😕

Uzuri hata Mung Chris nilimueleza hili na analijua vyema.
Kwahiyo manengelo, acha binadamu waseme mpaka wachoke


jamani masikin hii ndo naisikia leo !dah!hv kweli ben ht wewe hujui alipo?dah hata hvyo umejitahidi maskn!dah apumzike kwa aman BEN!pole sana my dear!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom