Friends in Mwanza

Friends in Mwanza

Kwani wanawake mrembo ndio compass au ramani hadi ndio wakuelekeze??? sema unataka mdada wa kufanya naye ngono sio unazunguka oooh mimi mgeni Mwanza, sina kwa kwenda, nahitaji company (unahitaji company kwani wewe muhisani au mwekezaji?)

Haya ondoka haraka sana hapa CC hakuna hao watu unaowahitaji...phweeee!!!

Unawaza kungonoka tu na si lolote, hata hivyo nashukuru nilipata pm na nilishapata rafiki asanteni sana
 
Kwani wanawake mrembo ndio compass au ramani hadi ndio wakuelekeze??? sema unataka mdada wa kufanya naye ngono sio unazunguka oooh mimi mgeni Mwanza, sina kwa kwenda, nahitaji company (unahitaji company kwani wewe muhisani au mwekezaji?)

Haya ondoka haraka sana hapa CC hakuna hao watu unaowahitaji...phweeee!!!
Na ole wake amsogelee charminglady wangu...ntapaaa km rocket hadi ashangae.
Atutolee unanii wake hapa.
 
Last edited by a moderator:
Unawaza kungonoka tu na si lolote, hata hivyo nashukuru nilipata pm na nilishapata rafiki asanteni sana

usiseme nawaza kungonoka, sema ninangonoka...maana hapa nipo na mamsapu tunatimiliza sakramenti ya ndoa.

Btw karibu Chitchat...hongera
 
Najua we ni mzee wa kubadilisha pozisheni ya vifanyio vya wakware...cha huyu sijui utakihamishia kwapani!!!

Na ole wake amsogelee charminglady wangu...ntapaaa km rocket hadi ashangae.
Atutolee unanii wake hapa.
 
Last edited by a moderator:
Najua we ni mzee wa kubadilisha pozisheni ya vifanyio vya wakware...cha huyu sijui utakihamishia kwapani!!!

Hahahaaaaaa
We mwache tu...mbwa wangu wana njaa nakinyofoa jumla nawapa wale dadadeeki
 
Hahahaaaaaa
We mwache tu...mbwa wangu wana njaa nakinyofoa jumla nawapa wale dadadeeki

Hahaha...hao mbwa ukiwapa kifanyio cha jamaa kila muda watakuwa kampani ya mbwa warembo kutoka Mwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom