#FreeMboweAndEstherMatiko... anyone?

#FreeMboweAndEstherMatiko... anyone?

Mkuu kwanini unajadili MTU badala ya HOJA aliyoileta?

Chahali yupo sahihi,Mbowe ametelekezwa.

Hayo mengine uliyoandika hayana maana yoyote.

Ni sawa na wewe unavyojiita Salary Slip

Kwanini usitumie jina lako halisi?

Huyo Mange na yeye Kwanini asije kupambania hapa?
wewe ni verified user?
 
Tumika nawe uwe na bei.
Tahadhari kwa wasomi, angalieni mifano kama hii. Kwa nini mnajianika mpaka mnaamua kujiadhiri bila sababu. Hawa Watanzania ni waelewa, endeleeni kujidanganya mkidhani ni wajinga...
 
TWENDE NA MEMBE 2020
Bavicha Magoti kwishney
FB_IMG_1544101132689.jpeg
 
Mkuu kumbe na wewe una lugha kali namna hii! Rudi kwenye lugha za kistaarabu hata kama umekasirika unaharibu haiba yako namna hiyo. Hujasoma Mithali 26:4?!
Mimi nina wasiwasi hii ID inakuwashared Lumumba. Msipoteze muda.

Ukweli unabaki wao wanatawala kwa namna ambayo watawaliwa tunapata tabu. Faraja yangu ni kuwa hatusaliti imani yetu kuhusu utawala bora kama unavyotakiwa.
 
Back
Top Bottom