#FreeMboweAndEstherMatiko... anyone?

#FreeMboweAndEstherMatiko... anyone?

Hata Lisu sijaona hata neno lake kuhusu kilichotokea kwa hao jamaa.
 
89BB85C2-6085-4025-96B8-821A99624A38.jpeg
 
Chahali we ni great thinker n utaendelea kuwa my role model in my daily life approchment, ki msingi Chahali anahoja hata kama provision angle yake itakuwa in balance cha muhimu ni ku deal na hoja ya msingi lather than kumlaumu az if kuna ma lay men yanaomba akina mbowe waendelee kusota rumande
 
Wanao omba Mbowe asitoke jela ni kina ISIS naomba fuatilia post zake utaligundua hilo
Chahali we ni great thinker n utaendelea kuwa my role model in my daily life approchment, ki msingi Chahali anahoja hata kama provision angle yake itakuwa in balance cha muhimu ni ku deal na hoja ya msingi lather than kumlaumu az if kuna ma lay men yanaomba akina mbowe waendelee kusota rumande
 
najua wewe ni assets tiss so sishangai
but mwambieni jiwe kama anadhani upinzani ni mbowe,matiko,lisu au lema anakosea big-time
upinzani ni akili na mioyo ya watu akitaka anaeza wapoteza hao apo juu lkn kamwe upinzani hautaisha na utaishi milele kwe mioyo ya wapinzani ambao ni anybody

"narudia tena wewe sio mzalendo ( sjui huko tiss hamfundishwagi) nge kumwaga ubongo kwa mkono wangu kama ungekua hapa

Pumbafu:endelea kuaminisha wajinga et ulikimbia tiss
"najua uchaguzi unakaribia....
 
Wewe ni mnafiki mkubwa!

Umeanza kujipendejeza kwa Jiwe kwa muda sasa na ndio maana hata Mange alikupa kubwa Instagram.

Kama maisha huko yamekushinda,kuwa mdebedwo utapeta hela.

Upinzani kwa mazingira ya sasa utajengwa na kupiganiwa na wenye moyo na si watu cheap kama nyie msio na misimamo.

Kama wewe kidume njoo upambane ukiwa humu nchini kama hao kina Mbowe na sio ukiwa umejifungia kwenye kachumba huko katika nchi za watu.

Mtu akiwa na mawazo tofauti na wewe basi kanunuliwa? Halafu mnajidai mnapigania demokrasia!
 
Kwanini wanachama na wafuasi wa Chadema "wamemtelekeza" Mbowe na Esther Matiko angalau kwa mtandaoni, ambapo ilitarajiwa muda huu tukutane na hashtag kama #FreeMbowe au #FreeMboweAndEstherMatiko na vitu kama hivyo?

I'm not saying kuwa hizi hashtag zitaifanya mahakamani itoe dhamana wala haimaanishi kuwa Jiwe ataona aibu kuwanyanyasa wapinzani bila aibu. However, Sie tunaoamini kuwa "kukaa kimya ni ishara ya kuridhia jambo baya," tunadhani kelele ya aina yeyote ile dhidi ya jambo baya ni muhimu.

On the other hand, na hili linaweza kupelekea ninyeshewe mvua ya matusi, bado hainiingii akilini kuona Mbowe na Matiko walidiriki kukiuka masharti ya dhamana. Siwalaumu bali sote twafahamu kuwa the last thing Jiwe needed from them ni wao kumpa excuse ya kuwaweka ndani wanasiasa wa upinzani kwa muda mrefu kadri iwezekanavyo.

Wakati tunajua kuwa bado Jiwe angeweza kutumia excuse yoyote ile kuhakikisha japo kiongozi mmoja wa upinzani "anakula Krismasi akiwa jela," kitendo cha kina Mbowe kuvunja masharti ya dhamana - haijishi validity ya sababu zao - ni sawa na "mbuzi kufia kwa muuza supu."

Ni kitu kibaya kisichokubalika lakini unfortunately kipo na kinatokea. Anayedhani Jiwe ana limit ya kuuangamiza upinzani basi labda kalala usingizi fofofo. Mie ni miongoni mwa watu wanaohisi kuwa kuna uwezekano mkubwa kabisa kwa Jiwe kutumia kila mbinu kuhakikisha Bunge la 2020 linakuwa virtually la chama kimoja. Most of opposition MPs (watakuwa wamebaki wachache tu come 2020 after wengi wao kulazimika kuhamia CCM "kwa nguvu" au ili kulinda majimbo yao) watapoteza majimbo yao katika njia hizi hizi za kihalifu zinazotumiwa na Jiwe dhidi ya Upinzani.

Back to the major theme, je tutarajie #FreeMboweAndEstherMatiko hivi karibuni au ndio nobody gives a f*ck? (Pardon my French)
Wewe chahali tunafamu kuwa wewe ni daudi balali unatafuta kiki kupitia wanasiasa kama mbowe na matiko kuongeza followers huko inst in a mange voice wewe endelea kukaa huko glaskow uskochi ubebane na mabox kwenye supermarket upate kula
 
Kejeli au nafsi inakusuta kwa sababu mmemtelekeza Mbowe? Na bora mie mnafiki ninayediriki kusema kwa Kejeli kuliko mnafiki wewe uliyekaa kimya.

Hivi kuna tofauti gani kati ya udikteta wako na huo wa Jiwe mnaolalamikia?

Kwa taarifa yako, Mbowe is my good friend. Tunafahamiana. Does he even know you mganganjaa?
Kwanini ya chadema yanawakera na hali yakuwa ndio vicheko kwenu kwa kuwekwa ndani viongozi WA upinzani?

Hivi unamapenzi na chadema. Toa mchango wako juu yao.

Juiz jiwe kasemaje viongozi WA upinzani wawekwe ndani sasa si mfurahiye hayo.
 
Hebu waache hao wanyama wa serengeti wanapumzika pia wako busy na mgombea wao Membe! Hujaiona hashtag yao ya #Kazinabata?!
Yaani wanaacha kumpigania Mbowe wanampigania Membe. Yaani hawa jamaa sijui nuts zimelegea humo kichwani?
 
Unapokuwa mwanaharakati ama bushlowyer jitahidi sana ujue na sheria za nchi zilizotungwa na bunge zinasemaje. Hapa watu wanailaumu serikali, wanailaumu mahakama badala ya kuwalaumu watuhumiwa hao waliovunja masharti ya dhamana kwa makusudi? Haya angalieni kifungu hiki cha CPA kuhusiana na mtu aliyevunja kwa makusudi masharti ya dhamana.
Screenshot 2018-12-08 21.47.48.png
 
Ukishafungamana na KIJANI, sijui akili zinaenda wapi? Huyu ni mtu potential kabisa, sasa ona anachofanya punde tu baada kujiunga nao.
 
Wewe ni mnafiki mkubwa!

Umeanza kujipendejeza kwa Jiwe kwa muda sasa na ndio maana hata Mange alikupa kubwa Instagram.

Kama maisha huko yamekushinda,kuwa mdebedwo utapeta hela.

Upinzani kwa mazingira ya sasa utajengwa na kupiganiwa na wenye moyo na si watu cheap kama nyie msio na misimamo.

Kama wewe kidume njoo upambane ukiwa humu nchini kama hao kina Mbowe na sio ukiwa umejifungia kwenye kachumba huko katika nchi za watu.
MKIMBIZI NA MCHUMIA TUMBO CHAHALI KATIKA UBORA WAKE
 
Wewe ni mnafiki mkubwa!

Umeanza kujipendejeza kwa Jiwe kwa muda sasa na ndio maana hata Mange alikupa kubwa Instagram.

Kama maisha huko yamekushinda,kuwa mdebedwo utapeta hela.

Upinzani kwa mazingira ya sasa utajengwa na kupiganiwa na wenye moyo na si watu cheap kama nyie msio na misimamo.

Kama wewe kidume njoo upambane ukiwa humu nchini kama hao kina Mbowe na sio ukiwa umejifungia kwenye kachumba huko katika nchi za watu.
Sasa hivi mko na Membe ama siyo bwana? Mbowe ni nani mbele ya Membe kumtoa Magu 2020

Chadema mna laana
 
Back
Top Bottom