Mkuu! Nni kweli kwamba hujaona lolote la maana kwenye post ya chahali? Hata hoja yake ya kututaka tupaze sauti kuonyesha kutoridhishwa kwetu na madhila yanayowapata akina Mbowe na matiko umeiona ni nonsense? Kweli? Hilo la waheshimiwa kukiuka masharti ya dhamana linahitaji ufahamu na tafakari ya kina,hatuwezi kulihukumu direct,ila jambo moja ni dhahiri kuwa serikali ya magufuli hailali kuhakikisha inawabana na kuwadhibiti wapinzani wote wenye ushawishi ndani na nje ya nchi hii,hilo tu linatosha kutuamsha na kutulazimisha tupige kelele!!! Ngoja niendelee kusoma comment za wengine labda naweza kupata mwanga zaidi.Wewe ni mnafiki mkubwa!
Umeanza kujipendejeza kwa Jiwe kwa muda sasa na ndio maana hata Mange alikupa kubwa Instagram.
Kama maisha huko yamekushinda,kuwa mdebedwo utapeta hela.
Upinzani kwa mazingira ya sasa utajengwa na kupiganiwa na wenye moyo na si watu cheap kama nyie msio na misimamo.
Kama wewe kidume njoo upambane ukiwa humu nchini kama hao kina Mbowe na sio ukiwa umejifungia kwenye kachumba huko katika nchi za watu.
TWENDE NA MEMBE 2020Now Membe is trending;
Thubutu yako walahiHasira alizonazo Salary Slip ndizo walizo nazo Watanzania kwa sasa. Zamani JK alisema ccm hawaaminiani hata mtu akienda chooni anabeba maji yake anaogopa sumu, sasa tuendako ccm mtawaogopa raia wa kawaida kiasi mkiondoka nyumbani kwenda kazini mnachukua familia nzima maana mnaweza kuta familia nzima imeshughulikiwa. Tunaelekea kwenye ukenge ukenge tuu!
Hivi mnajua huko kutegemea kwenu Polisi na ratio ya polisi na raia ikoje?
Shauri yenu, hamjifunzi Kwa Jirani?
Tutapambana naye mpaka tone la mwisho , amuulize MwanakijijiHuyu jamaa snitchhh
Alafu naona sahv anajipendekeza Aweze arudi naona kachoka kubeba mabox hko
Ova
Mbona unaheshimika sana hapa jf hasa kwa mada zako ambazo zimekujengea umaarufu sasa unaanza tena kupoteza mwelekeo !Mnafiki mkubwa ni nyie mbwa mliomtelekeza Mbowe. At least mie naweza kutoa excuse ya "najipendekeza kwa Jiwe kwa sababu ya njaa zangu." Do you have any excuse ya nyie kumtelekeza Mbowe na Matiko?
Sura ile! Ipo siku utaujutia ushabiki huu wa kindezi na usisahau kuwa kila mchuma janga hula na wakwao! Jela ni ya wote mjinga wewe!Chadrama mcharuko mizee ya matukio wako kwenye mdundiko wa membe, oops sorry pesa imeisha katikati imebidi mdundiko uzimwe ..,
Uwiii bavicha Magoti lofaaaas
Ondoa uwongo wako hapaYule wakili wa serikali anaeinajisi mahakama kwa kutumia upendeleo unaopewa upande wa mwendesha mashtaka hakika kuna siku hataweza kufurahia wenzake kuwa gerezani.. Alijaribu kwa Lema ila ile ajali haikumfundisha vizuri jinsi ya kutenda haki..
Jasusi hyooo alafuMbona unaheshimika sana hapa jf hasa kwa mada zako ambazo zimekujengea umaarufu sasa unaanza tena kupoteza mwelekeo !
Matusi yanasaidia kitu gani badala ya kutetea hoja yako?
Neno la leo walahi uwiiiMnafiki mkubwa ni nyie mbwa mliomtelekeza Mbowe. At least mie naweza kutoa excuse ya "najipendekeza kwa Jiwe kwa sababu ya njaa zangu." Do you have any excuse ya nyie kumtelekeza Mbowe na Matiko?
Jasusi hyooo alafu
Ova
Neno la leo walahi uwiii
Vyuma vilivyobana huko Tz, si ajabu nawe watamani ungekuwa mkimbizi japo South Sudan kama sio Somalia![]()
Acha amcharange vizuri wamezidi na Mitusi yao, majibavicha magotiMbona unaheshimika sana hapa jf hasa kwa mada zako ambazo zimekujengea umaarufu sasa unaanza tena kupoteza mwelekeo !
Matusi yanasaidia kitu gani badala ya kutetea hoja yako?
Unajua watu Wako kimslahiAmeanza kupoteza alichokikusanya kwa ghalama kubwa maana hapa jf ili ukubalike ni shughuli
Unajua watu Wako kimslahi
Naona ameona bora aombe pooo ili Aweze rudi kule alipozingua mwanzoni
Ova
Tatizo lako hukwenda shule wewe nyauAcha amcharange vizuri wamezidi na Mitusi yao, majibavicha magoti