Jamani hebu acheni kupotosha jamii,ni vena kama kitu hukijui ukakaa kimya.
Freemasonry ni social service organisation kama ilivyo rotary,lions zenye malengo tofauti,mfano lions service platform yake ni paediatric cancer,diabetics,vision,hunger relief na environmental, rotary imejikita zaidi kwenye sports,na environmental
MTU anapoinuka na kusema freemasonry ni dini eti kaambiwa na she he yahaya na wanachama hawajui ni uwongo usio na kichwa wala miguu.
Niwape uelewa kwenye akili zinazofanya kazi watanielewa 1.inaitwa freemasonry taufa herufi hizo kwenye mtandao
2.moja ya sifa za kujiunga "you must be a man with a good reputation 3.you must be able to support yourself
3.you must have your own religion
Yaani uweze kuea na kipata chako,use ni muumini Wa dini yako nabuwe na tabia au matendo mema kwenye jamii isitoshe freemasonry hujipeleki unaitwa yaani unakuwa sported kisha unakuwa invited na kuwa oriented,na kama ilivyo sheria za vikundi kuacha vikoba mlivyozoea pana mafunzo na kozi za uongozi.
Sasa wewe unaesema freemasonry ni dini au wanatoa kafara we ni shetani namba moja na mungu akurehemu
Tatizo watu wanapenda kusikia story za vijiweni na kwenye kahawa wanaruhusu akili zao kutofanya kazi kisa wamehadithiwa haapendi kusoma kabisa machapisho,vitabu wanaishia ushabiki Wa kijinga.
Freemasonry imekuwa na michango kadhaa kama ujenzi Wa mahispitali ,makanisa na miundombinu mfano kabisa LA roman mt.Thoma's kigogo/mburahat ni msaada Wa Freemasonry, na mengineyo mengi.
Ni uzushi na uongozi kuna swali huwa watu wanauliza eti ukiwa freemasonry unapewa pesa?
Jibu: Ni uzushi chanzo cha pesa za freemasonry ni ada na machangizo mbalimbali, pana fees za kawaida,pana district fees na international fees, licha ya hayo pia pana muchango mbali mbali.
Kuna wajinga wanadiriki kusema kabisa LA freemasonry lipo Posta
Jibu: Tutumie akili pameeandikwa freemasonry hall sio church ,tusiwe wavivubkufikiria ile ni ukumbi Wa mikutano na vikao vidogo na vya kawaida.mwenye maswali atanifata ila huwezi kuwa na kashfa za ngino au sifa mbaya halafu ukawa Freemasonry watu wanazusha marehemu Fulani ,sijui mwanamziki Fulani huo ni uongo