Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?



Ndugu, hayo maelezo marefu uliyotoa sio kweli. Umepotosha wasomaji. Naamini ndivo na wewe walivokudanganya ili na wewe uwadanganye wengine. Naamini hujadanganya kwa makusudi bali na wewe ulidanganywa.

Ukweli halisi ni kuwa hayo makundi yote uliyotaja yaani Freemason, Lions, Rotary na mengine mengi (hayapungui 900! duniani kote) ni makundi ya kutekeleza mpango wa Shetani kudanganya walimwengu.
 
My,huna unalolijua...hayapungui 900 takwimu ulipata kwa shehe yahya?au kwenye vijiwe vya kahawa, Mimi ni member kwenye hizo org, lions wapo zaidi ya 1.3m, sio member tu Bali ni kiongozi nicheki private nikupe elimu tuongee kwa ushahidi na vielelezo sio reference za kihuni.namba yangu ni 0754608152/0759005000, nikupe elimu, kweli usilolijua ni usiku wa Giza,Mimi ni snr.member na nipo GLT/GMT pia
 
habari wakuu.
nmekuwa nikisikia uwepo wa freemason kila kona, hiki chama kinasemekana ni dini yashetani, kwamba ukiwa mwanafamilia wa huko unakuwa namaisha mazur mimi nahitaji kujua kwamba kwel iko chama ninachokisikia muda mlefu kipo kweli au ni uzushi tuu wawatu, nakama kweli kipo nisifa gani uwe nayo ili kuwa mwanafamilia wakikundi hiko, na je nikweli hiki chama kinakupatia utajili?.
kwenu wajuzi.
Asant.
 
Kazi kwako

FREEMASON TENA NCHINI TANZANIA .KUJIUNGA NUNUA FORM YETU KWA T-SH'13,000/= BAADA YA USAJILI UTAPEWA MTAJI MILIONI HAMSINI 50.000.000 PIGA 0742868630
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…